Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe jamaa utakuwa na matatizo sana. Unadhani Issue zenu za kenya ndiyo issue za TZ
Na unatakiwa uwe tayari kujifunza. Tatizo lako ujiaji wa kijinga na hautaki kujifundisha.
Anyways:
PT = Polisi Tanzania
MT = Magereza Tanzania
UT = Uhamiaji Tanzania
JW = Jeshi la wananchi
SU = Shirika la Umma
SM = Serikali za mitaa
ST(K,J...) Serikali ya Tanzania
CD = Diplomat Car
E = Escort
S = Spika
NS= Naibu Spika
CS = Katibu mkuu kiongozi
JM = Jaji mkuu
CDF = Mkuu wa majeshi
RC = Reginal Cammisioner

Orodha ni defu sana.
Usilete ujinga wako hapa
J- Jaji
 
It will be great!
usifikiri sisi ni kama ninyi mmechakaa kila pembe na hamna miundombinu ya maana ya kuunganisha nchi yenu na majirani

Tanzania Ina miundombinu ya maana na majirani zetu wote na miundombinu Tanzania ipo developed kila eneo

The state of the art One border center between 🇹🇿🇲🇼
 
👌🏾
7AA6B046-F463-4788-9A9B-BFD4EC3F63F2.jpeg
 
COVID -19 effect,Kabla uchumi wa tz ulikadiriwa kukua kwa 5.9% 2020/2021 na kifikia $69B


Baada ya COVID -19 uchumi unakua wa 2.8% So GDP imepungua hadi $65B

Sipati picha majirani zetu waliotafuna pesa za mikopo na kujifungia ndani sana hali gani

BTW Bado GDP PER CAPITAL ni $1119
Screenshot_2020-10-07-08-48-51.jpg
 
Boga wewe,kenya mkijenga hiyo kitu mtakunya hadi mavi dadeki..huo ni mradi wa mchina,nyie hamna chenu hapo 27 years to come,you will be paying toll fees over 27+ years..failed state indeed
sawa basi nenda ukalale
 
Back
Top Bottom