Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,063
- 8,227
1 Mwanza inaweza fanya kazi..bila Dar Mkuu ..cause kuna train zitakuwa zinaanzia mwanza kushuka chini kuja DarMimi sina tatizo na ujenzi wa reli zote mbili, tatizo langu ni kwanini wasingeendekeza kama walivyofanya mwanzo, yaani Dar - Moro - Nakutopora - Isaka - Mwaza, ili njia ifunguke taratibu?.
Kumbuka kwamba, Control center ya SGR ipo Dar.kwahiyo Mwanza- Isaka haiwezi kufanya kazi bila kuunganishwa na Dar.
Lakini hata usafirishaji wa hizo trains za SGR, zitafikaje huko Mwanza?
1)Ziendeshwe hadi Dodoma, ndio zipakiwe katika MGR hadi Mwanza
2)Zipakiwe na MGR toka Dar hadi Mwanza, logistically haijakaa vizuri.
2 ..hapo logistic sielewi itakuwaje mkuu lets see on that part..sina uhakika itakuwaje
3..Kutangazwa kwa Mwanza-Isaka inaweza kuwa kwa sababu Goverment ndo inahela muda huu..inawezekana after 6 months -1yr tukaskia na makutupora isaka imetangzwa..depending on how we get cash...i think Goverment itatafuta loan ya makutupora -Isaka baada ya uchaguzi kuisha ...most likely by mwezi wa 6 mwakani ikawa imetangazwa..banks zenyewe zinasubiri zione mwenendo wa uchaguzi
Personally my view is that tunawadai Barrick 300 mil wametupa intial 100mil usd inawezekana hii ikawa ndo inaanzia kazi ...kwa kuongezea kwenye budget..labda..plus barrick watailipa Tz 40$mil kila mwaka for 5yrs ..lets see