Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios
Ww tony ndiyo maana hata joto la jiwe alisema kdg una genes za kitanzania cz uko tofauti kdg na Wakenya wote wa humu Jf, ukweli ni kwamba Wakenya ndiyo wenye roho mby mno na wasiopenda maendeleo ya wenzao, kuna mkenya mwenzako anaitwa Nicxie yeye pia kdg analingana na ww kimtazamo ila aliharibiwa na Wakenya original kina Teargass na Magix Enga so naye kawa mjinga sana.
 
Watanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios
Watanzania wenzangu, tuweni wazalendo kwa nchi yetu ila mazuri yao pia tuyaone na tuyakubali kama kweli wamefanya kazi sio kila kitu chao tunakiponda, wakati vizuri vyao vipo pia vingi na wakenya mupunguze kutudharau sasa coz hizo zama zilishaisha, wote tuweni waungwana✌🏿✊🏿
 
new terminal 3 zanzibar international airport🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇
33B5E4D2-2054-44AA-A4CE-A379F9139F94.jpeg
 
Watanzania wenzangu, tuweni wazalendo kwa nchi yetu ila mazuri yao pia tuyaone na tuyakubali kama kweli wamefanya kazi sio kila kitu chao tunakiponda, wakati vizuri vyao vipo pia vingi na wakenya mupunguze kutudharau sasa coz hizo zama zilishaisha, wote tuweni waungwana✌🏿✊🏿
wamefanya zuri gani?? zuri manake iwe na positive impacts to poor citizens, sio watu wanaishi kwenye slums utasem ni nguruwe alaf uwe na zuri unafanya, bro mark my words hakuna watu wanaroho mbaya na wivu kama wakenya na hawapendi kuona tanzania ikifanya maendeleo kabisa, sasa mwingine akiona tanzania inafanya maendeleo hasira zote ni kwa CCM 😂😂 sasa kama mtu yupo tayar kujisifia kitu hana utasema ni mazuri
 
Watanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios
Punguza munkari kijana mbona tunawapea likes?sasa ilifaa uendelee kupost sio kulia machozi ya samaki

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
wamefanya zuri gani?? zuri manake iwe na positive impacts to poor citizens, sio watu wanaishi kwenye slums utasem ni nguruwe alaf uwe na zuri unafanya, bro mark my words hakuna watu wanaroho mbaya na wivu kama wakenya na hawapendi kuona tanzania ikifanya maendeleo kabisa, sasa mwingine akiona tanzania inafanya maendeleo hasira zote ni kwa CCM sasa kama mtu yupo tayar kujisifia kitu hana utasema ni mazuri
Wewe unawajua vizuri sana hawa jamaa, umewajuaje?. Hawa jamaa wana roho mbaya, wabinafsi, makatili na wivu wa kupindukia, inawezekana ni kutokana na hali ngumu ya maisha waliyonayo huko kwao. Mimi asili yetu ni Kenya, ninawajua kupita maelezo hawa jamaa.
 
Watanzania wenzangu, tuweni wazalendo kwa nchi yetu ila mazuri yao pia tuyaone na tuyakubali kama kweli wamefanya kazi sio kila kitu chao tunakiponda, wakati vizuri vyao vipo pia vingi na wakenya mupunguze kutudharau sasa coz hizo zama zilishaisha, wote tuweni waungwana
Mkuu ww co mgeni wa huu uzi, lini umeona mkenya akisifia kitu cha Tz? Mambo yote wamekuwa wakiponda huku wakiugulia.

Nani asiyejua umuhimu wa umeme duniani hapa? Je kuna mkenya amesifia hatua tunayopiga kwenye hyo sekta? Hata tony anayeomba tuwe tunasifia mambo yao hajasifia hatua tuliyopiga kwenye sekta ya umeme.

Watanzania hatuna tatizo na mtu, ntakupa mfano mdg tu, angalia wasanii wetu wanavyotaja taja nchi jirani, hyo inajenga picha gn? Hyo ni appreciation wanayotoa kwa nchi jirani, je umewahi kuona msanii wa kenya akifanya hivyo bila kushirikishwa na msanii kutoka Tanzania?

Wakati mwingine huwa naona wasanii wetu wanajipendekeza sn, mkuu imefika wakati twende jinc wao wanavyotaka kwenda km wakisusa wasuse tu cc tutaendelea kuwasilimisha huko huko walipo nyuma ya keyboard.
 
Na ndiyo maana kuna comment nilikuuliza Tony kwamba kwn ww ni mgeni kwenye huu uzi cz ulikuwa unaleta vitu au unaongelea kitu as if humu ni kigeni.

Mfano kuna hoja ya density (wingi wa ghorofa ktk eneo moja) hii hoja ilishaisha na Wakenya wote wanajua ukweli kwamba hakuna ktk East and Central of Africa eneo lenye density km K/Koo-Tz.

Pili unapoongelea suala la kuto sifia, hapa naomba ww mwenyewe uwe shahidi kwamba WaTz ndiyo huwa wanasifia vitu vya kenya hata ww mwenyewe umewahi kuniambia kuwa mm huwa nakubali humu but kiukweli cc WaTz huwa tunakubali pale jambo la kenya linapoonekana ni zuri, hata likes za WaTz umepata kutoka kwangu, tuusan na Ppmosile na kuna comment juu kule Ppmosile amepongeza kuhusu nanosatelite.

Mwisho nikuambie tu kwamba Wakenya ndiyo pekee huwa hawa like wala kupongeza jambo lolote la kutoka Tz kiasi cha kwamba mm pia niliwaomba WaTz wenzangu wasipongeze jambo lolote kutoka kenya cz they are not fair kabisa. So hili jambo la ww kutoka kwenye huu uzi linanipa mashaka kwamba huenda na ww ulikuwa hufahamu vzr kuhusu Tz and now umeujua ukweli hvyo nikutakie safari njema mkuu tuache cc tuendelee kuwapa darasa Wakenya wenzio watakaobaki humu.
Sindano zimekuwa kali aende kulala ...akiamka atarudi ..
 
Jamani watanzania wenzangu tupunguze dozi kdg au tuwe tuna like japo mara moja moja picha na comment za Wakenya ili wasijisikie kupitwa kila kitu c unajua wenzetu ndo tangu wanakuwa wanafundishwa shuleni na pia hata na wazazi wao kwmb wapo juu kuliko Tz, so hizi mambo wakija on ground wanagundua vitu ni different.

Ss naomba twende nao taratibu wataelewa kdg kdg na mwishowe watakubali ndg zng tusiwafanyie hv, c umeona kuna Wakenya wamekuja Tz juzi juzi mambo waliyoyaona huku wameanza kuwayangazia wenzao kwmb Tz ya ss ni moto wa kuotea mbali
 
Hivi ndio vitu vinavyo wakera na kuwachukiza wakenya walio wengi kama sio wote TZ kuwa middle income( imewaumiza sanaaa),BRT(phase 1/2,wakati wao kuanza tu shughuli pevu), Tanzanite cable bridge,Nyerere cable bridge(kwao ni ndoto ya alinacha) Airport terminal 3,modern and advanced interchanges and flyovers, Mbezi na Dodoma bus terminal,Electric trains ( hata hazija fika ila joto liko juu),kimara kibaha highway 8-12 lines 19.2 itaongezwa 75 km(chalinze) , Dodoma express way 110km,Bomba la mafuta toka Uganda,Bwawa la nyerere hydro power 2115,kupanuliwa kwa ports za Dar,Tanga na Mtwara,kurudishwa kwa shirika la air Tz,LNG (30 bill)smelter,DMDP.....KWA HAYA MACHACHE KATI YA ENDLESS LIST NADHANI TUNAPASWA KUFRAI ATLIST NASI TUNASOGEA ...KWAIYO MAJIRANI TUVUMILIANE (MWENZIO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI).
 
Back
Top Bottom