Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,737
- 107,188
Mwanza city 2020
Kikwete alikuwa rais mzuri sana wa Tanzania. Nilipenda sana huyo mtu. Alikuwa Muungwana sana. Hakuwa na masihara na hasira kama huyu aliyekalia kiti sasa hivi.Jakaya kikwete road upper hill 😍
View attachment 1589252
Naona takataka kwenye background.hawa vijana wasenge sana 😂😂View attachment 1589435
Mtamp3nda sn sababu aliwachia nchi yetu mkaifanya shamba la nyanyayenu....mpka Tanzanite mkaongoza kuza mkatupita wakati inatoka kwetu....upuzi kabisaKikwete alikuwa rais mzuri sana wa Tanzania. Nilipenda sana huyo mtu. Alikuwa Muungwana sana. Hakuwa na masihara na hasira kama huyu aliyekalia kiti sasa hivi.
Kikwete alikuwa rais mzuri sana wa Tanzania. Nilipenda sana huyo mtu. Alikuwa Muungwana sana. Hakuwa na masihara na hasira kama huyu aliyekalia kiti sasa hivi.
Kikwete km angefuatia baada ya Magufuli angekuwa raisi mzr km unavyosema.Kikwete alikuwa rais mzuri sana wa Tanzania. Nilipenda sana huyo mtu. Alikuwa Muungwana sana. Hakuwa na masihara na hasira kama huyu aliyekalia kiti sasa hivi.
Co kutelekezwa bali wameuzwa.Hahaha kwa hiyo kutakua hakuna Dr. Pombe Magufuli Avenue Nairobi? BTW ndege wetu Tausi bado wapo au wameshatelekezwa?
Ile kuvaa koti na suruali iliyotoboka huku chini ndala zilichoka,halafu kiingereza kiiingi na ujuaji wa kila jambo ndio hulka ya kikunya,wengi wako hivyoNa kule kwetu wale wazee wa zamani wanaopenda kuchomekea sana nguo haswaa zilizochoka choka hivi na makoti na hawana hata mia mifukoni huwa wanafananishwa na wakenya.
Kikwete huyuhuyu si mlimbagua mkaanzisha COW! Huyu wa sasa ndo size yenyu angalia anawavyowanyorosha kwa kutibua COW! I'll pick JPM over JK anytime!Kikwete alikuwa rais mzuri sana wa Tanzania. Nilipenda sana huyo mtu. Alikuwa Muungwana sana. Hakuwa na masihara na hasira kama huyu aliyekalia kiti sasa hivi.
ChoiceVariable mbongo sema dish limeyumbaNdio maana wanabadili ID tu mara kwa mara, wanaaga kuwa hawataki tena kukaa JF ila wanajikuta wanarudi tu kwa ID mpya 😂 😂 ...huwa wanaumia sana ila ndio hivyo hawawezi kuikana nchi yao wazi wazi, ila kimoyo moyo wanataka kuhamia kabisa na kuwa waTZ kama ChoiceVariable
Watu washaanza kuchafua daraja na graffiti?[emoji550] View attachment 1589712
Huyu jamaa kauliza swali la msingi sana, kuna faida gani ya kuruka kipande cha katikati wakati tungefungua njia taratibu?
Sorry, huyu hapaHuyu jamaa kauliza swali la msingi sana, kuna faida gani ya kuruka kipande cha katikati wakati tungefungua njia taratibu?
Sasa kama kauliza kwa Msemaji wa Serikali mimi nifanyaje? mbona unani-tag mimi?Huyu jamaa kauliza swali la msingi sana, kuna faida gani ya kuruka kipande cha katikati wakati tungefungua njia taratibu?