Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20200731-223052.png

Yule mama balozi msaidizi wa US bora kaondoka naona tunaanza kuelewana.
 
Maumiv.....kuwa n ndege n helcopter siyo kufika ubillionaire hivyo ni vitu vidog sana kwa ubillionaire.....nyie bado maskini tu.... mnapinga mpka fact
Bwahaha!!naona umeshaanza jishuku shuku sasa..

Kwanza km ni chopper mbna kenya watu wwngi wanamiliki tu..hyo si big deal
 
i got this comment somewhere in this forum &
it’s true


Halafu Uhuru na serikali yake wana copy hatua zote za U.K za kupambana na Covid 19.
U.K walipo weka Lockdown na Kenya nao wakafata mkumbo. Walipoondo lockdown na Kenya nao wakafuata. Sasa hivi UK wapo kwenye mgogoro na Spain kuhusu quarantine na travel ban, Kenya nao wame copy.
Kenya wapo obsess na UK kama mademu wao walivyo obsess na vibabu vya kizungu!
 
Yaani kupitia kwenye mitandao humu humu,serikali ya kenya inagundua ni kwa namna gani imepiga hatua kwa kukurupuka.

wajumbe wangu na mzee diwani msiniangushe,wanapotaka kuja mezani kuweka mzani sawa,chomekeni na route ya ATC kwenda kwao,maana mpaka sasa tuna mawe mawili mkononi wao wamemaliza yote.
 
Back
Top Bottom