Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hayo ni majengo 18 tu Nairobi yote inamajengo ya gorofa juu ya gorofa 6 yasiyo zidi 80 kama mnabisha leteni picha tu hesabu.
Kama hiyo picha ni magorofa 18 huki zidisha × 5 = majengo yote ya Nairobi juu ya gorofa 6 wakati dar ina majengo juu ya gorofa 6 zaidi ya 500
Mkuu hii kinondoni ...nilikuwa namjip yule pimbi
 
Ni aibu snaaa mko hapa na kelel zote ila K/koo tu inawahenyesha.. .na hamna uwezo wa kuilipa...ndio mjue Tz ikoje na mind you ...hiyo k/koo inamilikiw na waswahili wenyew
mkuu umewapa fact kabisa.....
huo ndiyo ukweli
 
Wakenya tuliza huo Mtori kwani nyama ziko Chini, Mnayo yatafuta kwa TZ Mtayapata very soon...kumbukeni Air Tanzania inakuja kwa Kasi sana na TZ ndo nchi yenye watu wengi kuliko Nchi yyte ya EAC hvyo soko la usafiri wa anga ni kubwa.

Kupitia hichi mnachofanya ni kuipa Air Tanzania nguvu ya kukua zaidi ili kuteka routes nying kutokea TZ kwnda Nchi nyingine na hivyo ushindani mtakua mumeupunguza wnyewe ndani ya TZ na kwengineko.

Damn it, yaani mejikuta nshawapa Siri, hivi hadi mm namshinda Raisi na mawaziri wenu kwa kufikiria. Kenya is an adult who is stacked in adolescence.
 
Wakenya tuliza huo Mtori kwani nyama ziko Chini, Mnayo yatafuta kwa TZ Mtayapata very soon...kumbukeni Air Tanzania inakuja kwa Kasi sana na TZ ndo nchi yenye watu wengi kuliko Nchi yyte ya EAC hvyo soko la usafiri wa anga ni kubwa.

Kupitia hichi mnachofanya ni kuipa Air Tanzania nguvu ya kukua zaidi ili kuteka routes nying kutokea TZ kwnda Nchi nyingine na hivyo ushindani mtakua mumeupunguza wnyewe ndani ya TZ na kwengineko.

Damn it, yaani mejikuta nshawapa Siri, hivi hadi mm namshinda Raisi na mawaziri wenu kwa kufikiria. Kenya is an adult who is stacked in adolescence.
Wakija kuongea na sisi kuhusu kurudisha routi yao na sisi tutasema ATCL ipate routi ya Kenya pia.
 
Nasikia na Malawi nao wamekiamsha kwa KQ, Unajifanya ni Kiranja wa Afrika.
IMG_9794.jpg
 
Wakija kuongea na sisi kuhusu kurudisha routi yao na sisi tutasema ATCL ipate routi ya Kenya pia.
ujue kenya huwa tunaifanyia fair sana miaka yote tokea enzi za muungano uliovunjika wa jumuiya ya EAC mpaka leo wenye matatizo huwa ni wao...

mfano,,ndege zao tuliziruhusu ziendelee kufanya route Tz pasipo sisi kuingiza ndege zetu kwao.....na hatukuwa na time nao ila wao kila kukicha ni vibweka na Tz huwa siwaelewi ujue sisi huwa hatuna time nao
 
ujue kenya huwa tunaifanyia fair sana miaka yote tokea enzi za muungano uliovunjika wa jumuiya ya EAC mpaka leo wenye matatizo huwa ni wao...

mfano,,ndege zao tuliziruhusu ziendelee kufanya route Tz pasipo sisi kuingiza ndege zetu kwao.....na hatukuwa na time nao ila wao kila kukicha ni vibweka na Tz huwa siwaelewi ujue sisi huwa hatuna time nao
Sasa hivi tutakula sahani moja na wao.
 
Hahahaha, bado, KQ can still use sky team alliance partnership to circumvent this,,,bado tutaingia tanzania,
Haaahaaaa sasa njooni ....iyo partinership allience circumvent...mara paaa tunajifany mitandao inazingua ....
 
Hahahaha, bado, KQ can still use sky team alliance partnership to circumvent this,,,bado tutaingia tanzania,
Mmeanzisha vita ambayo itawagharimu nyie zaidi, Huwez kusema Tz sio salama tusije kwenu alafu nyie muendelee kuleta abiria hapa,hv mnajiskia mnayoyafanya kua mko sahihi?Siku mtajua umuhimu wetu kwenye uchumi wenu mtajiheshimu
 
Mmeanzisha vita ambayo itawagharimu nyie zaidi, Huwez kusema Tz sio salama tusije kwenu alafu nyie muendelee kuleta abiria hapa,hv mnajiskia mnayoyafanya kua mko sahihi?Siku mtajua umuhimu wetu kwenye uchumi wenu mtajiheshimu
Kweli, mhh, na bado mnataka ndege zenyu zifike Europe, mtatutafuta,
 
ujue kenya huwa tunaifanyia fair sana miaka yote tokea enzi za muungano uliovunjika wa jumuiya ya EAC mpaka leo wenye matatizo huwa ni wao...

mfano,,ndege zao tuliziruhusu ziendelee kufanya route Tz pasipo sisi kuingiza ndege zetu kwao.....na hatukuwa na time nao ila wao kila kukicha ni vibweka na Tz huwa siwaelewi ujue sisi huwa hatuna time nao

Magu hajawahi kushindwa jambo... hili la kenya kutuzuia ndo imempa nguvu kuchukua mamlaka zaid... tutarajie ndege za Tanzania kutua kenya pale majadiliano yatakamaliziwa.. kumbuka tulichofanya kuzuia usafirishaji wa makinika na swala la madini na Barrick... Magu hawezi kununua ndege afu hizo ndege zisitue viwanja vya kenya
 
Tutawatafuta baada ya nyie kujirekebisha mkiendelea na izo tabia zenu chafu kila mtu akae kwao kwanza
Mtangoja sana, tushawaonesha hatuwaitaji so tuli expect haya yote, wakenya si wajinga
 
Back
Top Bottom