Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeona huu ujinga? sidhan kama Magu hatochukua maamuzi.. pili ndege zao zinakuja kufanya nn Tanzania kama raia wetu hawaruhusiwi kutua huko?

View attachment 1521841


dadeki safi sana

IMG_1596226617.906012.jpg

IMG_1596226628.592538.jpg

ugomvi wanaanzisha wao ila tukirudisha mapigo wanalia
 
Dada hakuna mtz mwenye chuki na mkenya hata kidogo,isipokuwa nyinyi,mna tabia ya kujiona wazungu-waafrika nakudharau wafrika wenzenu na hata kuwasaliti.ndio maana TUNAWADHARAU.nasisitiza, hakuna mtz mwenye chuki na mkenya hata kidogo!Sisi hatuwezi kuwaonea wivu kwa sababu,wakenya mna maisha maisha mabaya Sana, Kuna njaa,ukabila,ugaidi,upendeleo,unbalanced development,ufisadi uliokidhiri n.k pole Sana,India hayo mawazo potofu.
Akae tuu akielewa hilo,ki ukweli Kenya sio taifa la mfano wala kujivunia,,,ni Nchi isiokuwa na usawa wala haki.
 
utaona tu kesho kwa media zao watakavyoanza kulia lia

ingia twitter uone.. mpk nacheka wanasema tuko childish... lkn hii spana lazima waielewe

hiv inawezekanaje mtoto wangu alikuwa anakuja kwako na kucheza tu kawaida ila ghafla unamzuia kuingia kwako bila kunitaarifu.. afu mim nikimzuia mtoto wako unasema nimefanya utoto?? sema nn.. hii spana mbona bado ndogo sana ... na hapa hakika Tanzania tumeuonyesha uanaume!!
 
ingia twitter uone.. mpk nacheka wanasema tuko childish... lkn hii spana lazima waielewe

hiv inawezekanaje mtoto wangu alikuwa anakuja kwako na kucheza tu kawaida ila ghafla unamzuia kuingia kwako bila kunitaarifu.. afu mim nikimzuia mtoto wako unasema nimefanya utoto?? sema nn.. hii spana mbona bado ndogo sana ... na hapa hakika Tanzania tumeuonyesha uanaume!!
na bado,maana wanaujinga sana hawa wakenya,,,wanaanzisha vitu vyakipuuzi tukirudisha pigo wanalia lia
 
Back
Top Bottom