Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kingston Residence ..along ngong road
View attachment 1521536
Ss Ndio Nn Hii
Vi project km hv vpo Kibao Kule Upanga Mbn
IMG_20200706_111537_7.jpg
IMG_20200614_170931_9.jpg
 
Mmeona huu ujinga? sidhan kama Magu hatochukua maamuzi.. pili ndege zao zinakuja kufanya nn Tanzania kama raia wetu hawaruhusiwi kutua huko?

View attachment 1521841
Mkuu amini kwamba Magu kamckia yule mlevi wao kuhusu ile speech ya kuwaambia wananchi wake waache kujilinganisha na nchi zinazoficha takwimu na km leo ulimckia kule mkuranga aligusia hiyo issue, ss we wala ucjali majibu watayapata soon.
 
Mkuu amini kwamba Magu kamckia yule mlevi wao kuhusu ile speech ya kuwaambia wananchi wake waache kujilinganisha na nchi zinazoficha takwimu na km leo ulimckia kule mkuranga aligusia hiyo issue, ss we wala ucjali majibu watayapata soon.
Unajua kenyata kakosema angewaambia wakenya kwamba watulie serikali iko makini kuhusu korona kuliko kuwaambia kwamba wasijilinganishe na nchi zinazoficha data kanakwamba hizo nchi hazijui inachofanya.kwamba umezitukana hizo nchi kwamba hazijielewi.yaani utasababisha mgogoro wa kidiplomasia.
 
Unajua kenyata kakosema angewaambia wakenya kwamba watulie serikali iko makini kuhusu korona kuliko kuwaambia kwamba wasijilinganishe na nchi zinazoficha data kanakwamba hizo nchi hazijui inachofanya.kwamba umezitukana hizo nchi kwamba hazijielewi.yaani utasababisha mgogoro wa kidiplomasia.
Wakenya waliingia mkenge sn kwa Kenyatta, unajua kuna msemo unasema "Leaders are not prepared but they are born" huu msemo naona umefanya kazi yake hasa ukitazama kwetu huku awamu ya kwanza na ya tano, unajua co lazima baba akiwa kiongozi basi mtoto naye awe kiongozi cz mara nyingi japo co mara zote huwa tunarithi mali na co akili, kila mtu ana zake.
 
Wakenya waliingia mkenge sn kwa Kenyatta, unajua kuna msemo unasema "Leaders are not prepared but they are born" huu msemo naona umefanya kazi yake hasa ukitazama kwetu huku awamu ya kwanza na ya tano, unajua co lazima baba akiwa kiongozi basi mtoto naye awe kiongozi cz mara nyingi japo co mara zote huwa tunarithi mali na co akili, kila mtu ana zake.
Sawasawa
 
Mkuu amini kwamba Magu kamckia yule mlevi wao kuhusu ile speech ya kuwaambia wananchi wake waache kujilinganisha na nchi zinazoficha takwimu na km leo ulimckia kule mkuranga aligusia hiyo issue, ss we wala ucjali majibu watayapata soon.
Kwenye kumjibu mpumbavu atujawai kuchelewa wala kukosea.... sisi ndio wakuu wa diplomasia ukanda huu..
 
Back
Top Bottom