Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoma ya watot haikeshimwana kulitafut mwana kulipata Magu Magu kama Magu
JamiiForums-1597831292.jpg
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
nyani inauwawa kwa kuvishwa mask kwanza.
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
Unajua magu hii kQ alikuwa haipendi sema basi tu alikuwa anashindwa afanyeje,sasa kapata sababu
 
Back
Top Bottom