mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,514
Walioshajaribu wenzako,wakalala mbele.This is all Dar. Waweza ukataja hizo places zote hapa
View attachment 1523068
Embu nionueshe moroco and the whole kinondoni katika hiyo picha.




.Fanya haraka.


soon nataka nianze kwenda pm ya bibie
KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia