Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoma ya watot haikeshi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwana kulitafut mwana kulipata[emoji23][emoji23][emoji23] Magu Magu kama Magu
JamiiForums-1597831292.jpg
 
Bwahaha!!naona umeshaanza jishuku shuku sasa..

Kwanza km ni chopper mbna kenya watu wwngi wanamiliki tu..hyo si big deal
Nyie ni maskini sanaaa....matajir wenu ni wageni ndio wengi....sasa mtafua dafu Tz ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga [emoji777] KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga [emoji777] KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
Wamezoea kuichezea chezea Tz [emoji3][emoji3]
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga [emoji777] KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
[emoji23][emoji23][emoji23]nyani inauwawa kwa kuvishwa mask kwanza.
 
Magu kiboko yaan hili swala la kupiga [emoji777] KQ limetolewa ucku sana hvyo kwa abiria wanaotoka Kenya waliotakiwa waje TZ leo basi lazima wakiamshe kwenye Airport yao kenya. Mamaeee mbona KQ itawanunulia chai ya asubhi...wanakwambia ukiyataka ya POPO basi Sharti ujue Kuning’inia
Unajua magu hii kQ alikuwa haipendi sema basi tu alikuwa anashindwa afanyeje,sasa kapata sababu
 
Your dem right...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382]View attachment 1522921
Hayo ni majengo 18 tu Nairobi yote inamajengo ya gorofa juu ya gorofa 6 yasiyo zidi 80 kama mnabisha leteni picha tu hesabu.
Kama hiyo picha ni magorofa 18 huki zidisha × 5 = majengo yote ya Nairobi juu ya gorofa 6 wakati dar ina majengo juu ya gorofa 6 zaidi ya 500
 
Back
Top Bottom