Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Nilisha sema hawa kitu wako nacho ni iyoo giiidiipiii...na vilio viiingi....nje ya hapo ni kelele tupu
Kuna pimbi wakaleta vitot vya gorofa kujarbu bahati zao😂😂😂😂🤣🤣🤣
Ss Ndio Nn Hii
Vi project km hv vpo Kibao Kule Upanga Mbn
View attachment 1521964View attachment 1521967
Walikuw wanapima kina cha bahari kwa mguu😂😂😂🤣🤣🤣Na bado upande wa pili wa Msimbazi street hauonekani .
SHERWOOD APARTMENTS ..KILIMANI NAIROBISs Ndio Nn Hii
Vi project km hv vpo Kibao Kule Upanga Mbn
View attachment 1521964View attachment 1521967
Unajaribu kuprove nini hasa...?kusoma hujui hata oicha huoni? au ndo kujifariji kwenyewe,huu ni ukweli maskini hawezi kumudu kujenga wala kuishi kwenye makazi bora kama hayo ndio maana miradi ya aina hii kama safari city,burka ,kawe,kigamboni nk nk imejifia huko Tzn tangu Magu aingie madarakani maana uchumi umesinyaa
Pili hata ukifuatilia taarifa za household survey moja ya kigezo muhimu ni umiliki wa makazi bora
Ndio mana nimemuliza anajrbu kuacomplish nn? Hasa....Tanzania ina Dola Milionaires na Billionaire wengi kuliko Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi Combined.
Sent using Jamii Forums mobile app
DISTINCTION RESIDENTIAL KILIMANI NAIROBISs Ndio Nn Hii
Vi project km hv vpo Kibao Kule Upanga Mbn
View attachment 1521964View attachment 1521967
Huwa wanajitoaga ufaham....hawa pimbiKuwa Na Nidhamu Basi. View attachment 1520709View attachment 1520710
Dah ila tuwapongeza wakenya kwa hatua nzuri waliyofikiaAhahha mm nilizimodfy kwa kuweka mskanio kabisa




Mkuu kwenye hili huwa nashangaa imekuwaje,gafla ajali zikapungua hasa wakati wa sikukuu,siku izi ukimeza dawa na ukapata Allergy kuna namba za kureport na hizo dawa zinafatiliwa....Tuko mbele Tunakimbia kweli kweli!JPM 5tena.Mkuu hawa wanaosema hawaoni kinachofanyika awamu hii Mungu anawaona tu, hili suala la uingizwaji holela wa vyakula na dawa nchini ulisababisha vifo vingi nchini na ilikuwa kawaida kusikia misiba ikifululiza mitaani mara nyumba hii kesho nyumba ile km unakumbuka utajua nnachomaanisha lkn pia ata ajali zilikuwa nyingi miaka ile ya Kikwete but now kiukweli vifo vimepungua kwa asilimia kubwa kdg tunapumua, hii ni kutokana na umakini wa serikali ktk kuhakikisha mwananchi angalau anakula chakula kilichothibitishwa lkn pia aanatumia dawa zenye viwango.