Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Am waiting the day Dar es Salaam will look like this. Maybe 2060.
View attachment 1520226
Kuwa Na Nidhamu Basi.
IMG_20200711_112111_0.jpg
IMG_20200711_112119_8.jpg
 
Alikuwa mke wa jomo kenyata. Kuna utani alitupiwa huyu mzee kuwa hapigi mechi vizuri. Akajibu muulizeni mama ngina, tangu hapo jina limekuwa maarufu.
Mkuu hivi mama ngina ni nani? Naskianga sana hiyo jina hapo ke...na huyo ngina ni nani? Ako hapo kenya?
 
Hongera zenu inaonyesha kweli nyie ni MIC,huku bongo sekta ya real estates ilishadorora toka JK atoke imebakia mashirika machache ya serikali wanajenga nyumba za serikali dodoma,elsewhere kila mtu anakomaa na dream house yake tu
Ndio maana hadi leo hii nssf wamekwama kumalizia majengo yao pale posta maana pesa hakuna na hata wapangaji ni hakuna pia,likewise mikoani
Akili yako iko mkunduni, ukijamba unabaki kama lisanamu.
 
Back
Top Bottom