The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Zile ID mbili zinazomilikiwa na mjinga mmoja zinazotukana ovyo mod wamezinyoosha![]()







Zile ID mbili zinazomilikiwa na mjinga mmoja zinazotukana ovyo mod wamezinyoosha![]()







kusoma hujui hata oicha huoni? au ndo kujifariji kwenyewe,huu ni ukweli maskini hawezi kumudu kujenga wala kuishi kwenye makazi bora kama hayo ndio maana miradi ya aina hii kama safari city,burka ,kawe,kigamboni nk nk imejifia huko Tzn tangu Magu aingie madarakani maana uchumi umesinyaaKigezo hicho cha real estate kilichaguliwa na nani, au ni mawazo yako ili angalau uonekane japo na wewe unajua kuzungumza?
2020 ntakuletea picha ya kufanana na iyo ntaipiga pale Kibamba chama baada ya highway kukamilika rasmi kabla ya uchaguziAm waiting the day Dar es Salaam will look like this. Maybe 2060.
View attachment 1520226
This was during Kikwete"s era when the economy was booming and growing at more than 7% annually lakini sio zama hizi za mjamaa Magu every thing especially private economy has stalled and is struggling ndio maana hakuna chochote cha maana kinafanywa na private sector kwa sasa
kusoma hujui hata oicha huoni? au ndo kujifariji kwenyewe,huu ni ukweli maskini hawezi kumudu kujenga wala kuishi kwenye makazi bora kama hayo ndio maana miradi ya aina hii kama safari city,burka ,kawe,kigamboni nk nk imejifia huko Tzn tangu Magu aingie madarakani maana uchumi umesinyaa
Pili hata ukifuatilia taarifa za household survey moja ya kigezo muhimu ni umiliki wa makazi bora
waiting for 2 A220-200, 2 dreamliners, B767 cargo and 1 Bombardier Q400...
Hivi mwaka huu hakuna route nyingine ya kimataifa itakayo anzishwa na Atcwaiting for 2 A220-200, 2 dreamliners, B767 cargo and 1 Bombardier Q400...
Tanzania state carrier aims to double fleet to 14 planes by 2022: official
Pull up your sleeve to reach Arusha first, Dar mnapoteza muda tuAm waiting the day Dar es Salaam will look like this. Maybe 2060.
View attachment 1520226
Nimeuliza swali rahisi sana, kwamba nani aliweka hicho kigezo?, Kama ni wewe unapaswa kusema hivyo ili tuanze kukitumia rasmi, ili tutakapoulizwa "source" tukutaje wewe, au kuna ubaya kukutumia wewe kama "source? ".kusoma hujui hata oicha huoni? au ndo kujifariji kwenyewe,huu ni ukweli maskini hawezi kumudu kujenga wala kuishi kwenye makazi bora kama hayo ndio maana miradi ya aina hii kama safari city,burka ,kawe,kigamboni nk nk imejifia huko Tzn tangu Magu aingie madarakani maana uchumi umesinyaa
Pili hata ukifuatilia taarifa za household survey moja ya kigezo muhimu ni umiliki wa makazi bora
Hawavumi lkn wamo..Kigezo hicho cha real estate kilichaguliwa na nani, au ni mawazo yako ili angalau uonekane japo na wewe unajua kuzungumza?

victim wa vyet fake.Mwambie awaandikie barua km bado aamin.
Nimeuliza swali rahisi sana, kwamba nani aliweka hicho kigezo?, Kama ni wewe unapaswa kusema hivyo ili tuanze kukitumia rasmi, ili tutakapoulizwa "source" tukutaje wewe, au kuna ubaya kukutumia wewe kama "source? ".



Tanzania ina Dola Milionaires na Billionaire wengi kuliko Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi Combined.Hongera zenu inaonyesha kweli nyie ni MIC,huku bongo sekta ya real estates ilishadorora toka JK atoke imebakia mashirika machache ya serikali wanajenga nyumba za serikali dodoma,elsewhere kila mtu anakomaa na dream house yake tu
Ndio maana hadi leo hii nssf wamekwama kumalizia majengo yao pale posta maana pesa hakuna na hata wapangaji ni hakuna pia,likewise mikoani
Na covid 19 hii utegemee new routes? Priority ni mashirika yasife.Hivi mwaka huu hakuna route nyingine ya kimataifa itakayo anzishwa na Atc
Pale Mkenya Ana mpongeza mkenya mwenzieHongera zenu inaonyesha kweli nyie ni MIC,huku bongo sekta ya real estates ilishadorora toka JK atoke imebakia mashirika machache ya serikali wanajenga nyumba za serikali dodoma,elsewhere kila mtu anakomaa na dream house yake tu
Ndio maana hadi leo hii nssf wamekwama kumalizia majengo yao pale posta maana pesa hakuna na hata wapangaji ni hakuna pia,likewise mikoani
Mkuu huyo jamaa ni mTz ila ana hasira na Magu baada ya kumtumbuaPale Mkenya Ana mpongeza mkenya mwenzie
Yaani Mbuzi kwa mbuzi
Afu Unajaribu kutaka Kujishana na Watanzania kwa lazima
Nao walisha kujua na kukupuuza




Ndio hao waliokuwa wanafungulia mabwawa makusudi ili nchi iingie kwenye mgao wa umeme ili wauze majeneretaMkuu huyo jamaa ni mTz ila ana hasira na Magu baada ya kumtumbua![]()



Yn watu waliotumbuliwa wana hasira sn na Magu lkn wanasahau kwamba walikuwa wanaiingizia serikali hasara kwa kuwalipa mishahara wasiyostahili na bado wapo wengi tu mkuu bado wapo serikalini wazee wa vimemo.Ndio hao waliokuwa wanafungulia mabwawa makusudi ili nchi iingie kwenye mgao wa umeme ili wauze majenereta![]()
Nchi ilikuwa imeoza sana halafu utasikia mkumbaf mmoja eti JPM hajafanya kitu,Yn watu waliotumbuliwa wana hasira sn na Magu lkn wanasahau kwamba walikuwa wanaiingizia serikali hasara kwa kuwalipa mishahara wasiyostahili na bado wapo wengi tu mkuu bado wapo serikalini wazee wa vimemo.
Hao ndio wenye vihamba Kenya pamoja na watoto na wajukuu zao.Mkuu hivi mama ngina ni nani? Naskianga sana hiyo jina hapo ke...na huyo ngina ni nani? Ako hapo kenya?