Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilwa Kisiwani
Tanzania

A cruise liner with 200 tourists anchored in Kilwa Kisiwani Tanzania. The visitors come from different countries such as Canada, USA , France to visit this famous ancient city on the coast of East Africa



Kilwa Kisiwani (“isle of the fish”) was once one of the greatest cities of the Swahili culture. In the 10th century, it made its fortunes by trading the riches of the African interior: gold, ivory, timber, and other valuable treasures. Until the Portuguese showed up in the 16th century, Kilwa Kisiwani was a wealthy and powerful port. Kilwa Kisiwani may be no more, but the standing ruins are spectacular.
 
shindaneni na tanzania tu😂😂👇👇
ED9741CB-A4A9-41B6-A7F1-130DDDD067A8.jpeg
 
Mkuu hawa wanaosema hawaoni kinachofanyika awamu hii Mungu anawaona tu, hili suala la uingizwaji holela wa vyakula na dawa nchini ulisababisha vifo vingi nchini na ilikuwa kawaida kusikia misiba ikifululiza mitaani mara nyumba hii kesho nyumba ile km unakumbuka utajua nnachomaanisha lkn pia ata ajali zilikuwa nyingi miaka ile ya Kikwete but now kiukweli vifo vimepungua kwa asilimia kubwa kdg tunapumua, hii ni kutokana na umakini wa serikali ktk kuhakikisha mwananchi angalau anakula chakula kilichothibitishwa lkn pia aanatumia dawa zenye viwango.
 
Mkuu hawa wanaosema hawaoni kinachofanyika awamu hii Mungu anawaona tu, hili suala la uingizwaji holela wa vyakula na dawa nchini ulisababisha vifo vingi nchini na ilikuwa kawaida kusikia misiba ikifululiza mitaani mara nyumba hii kesho nyumba ile km unakumbuka utajua nnachomaanisha lkn pia ata ajali zilikuwa nyingi miaka ile ya Kikwete but now kiukweli vifo vimepungua kwa asilimia kubwa kdg tunapumua, hii ni kutokana na umakini wa serikali ktk kuhakikisha mwananchi angalau anakula chakula kilichothibitishwa lkn pia aanatumia dawa zenye viwango.
Hao wanaosema hawaoni kilichofanyika ndio wale waliozoea magendo sasa mianya yao imezibwa wamebaki kulalamika.
 
Back
Top Bottom