Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunapendeza,tofauti ya upperhill na sandton ni kwamba,Sandton ni tajiri sana,makampuni makubwa yanaoffice pale,kimiundombinu kumepewa kipaumbele sana na hata residential zake ni Za hali ya juu...jipeni muda na malengo mnaweza kufuata nyayo
Hawataki kuckia ukweli huu, wamekuwa ni watu wa kujipa matumaini wasiyokuwa nayo ukimletea picha za Sandton anakwambia mbn umeweka joburg nzima, hv kweli Upper hill ufananishe na Sandton kweli jmn?
 
HESHIMA KWA KARIAKOO KWANZAA
tapatalk_1595969784328.jpeg
tapatalk_1595969790080.jpeg
tapatalk_1595969724751.jpeg
 
Back
Top Bottom