Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha tunataka mukasirike adi muweke miguu mfukoni au mumeze wembe kabisa ...

Enewei ivi kati ya Conte na Arteta Nani anastahili kucheza UEFA? Tuseme tu ukweli mazee

Sasa kama timu yao inaonesha toka waanze kucheza UEFA wanaishia hatua ya 16. Unategemea nini. Wakafanye nini huko mwache Konte aende
 
🚩 Arteta Worst Stats 👇

📍 Manager of the Month:

❌ Arsenal 1:2 Man City
❌ Nottingham 1:0 Arsenal
❌ Arsenal 0:2 Liverpool

🚩 Manager of the month (2nd time)

❌ Crystal Palace 3:0 Arsenal
❌ Arsenal 1:2 Brighton
❌ Southampton 1:0 Arsenal

🚩 Rewarded with a contract

❌ Tottenham 3:0 Arsenal
❌ Live: Newcastle 1:0 Arsenal

📍 Arteta hate it, when you praise him, he always respond with defeat
Mitano tena
 
Niliwaambia nyie mbuzi mtaambulia sio zaidi ya point 6 kwenye mechi 4 zilizobaki mkanishambulia na wengine matusi, mlipomfunga Leeds aliyejifia mkaota pembe, sasa Spurs kawalaza chali, Newcastle pia kawalaza chali, bado mna pts 3 za leeds. Hata mkishinda kitu ambacho haipo mtakuwa na pts 6
Niliwaahidi nitajipiga ban mwezi mzima
Asante Newcastle mmeniondolea ban
 
Hizi ni pongezi au kejeli?

Sijamuelewa kabisa huyo jamaa.

Anyway it is shame to see 300 million has been spent to have this kinda squad. BTW I still trust the process.
Ni kejeli sababu ameikuta timu kwenye Europa competition na last season akashindwa kuqualify kwenye Europe competition na ameirudisha Arsenal kwenye Europa Competition otherwise Sunday Spurs afungwe then Arsenal ashinde
 
Arse ninyi mnafaa kuwa na academy kama akina Nketiah tu. High profile hamuwawezi
Mmemfukuza Auba sasa kule kakiwasha game 15 goli 11 na assists 1
Akiwa Arse misimu miwili game 43 goli 14

Au mmesahau kuwa Arse ni academy ya kuwakuza vijana na kuwauza. Na mapato yenu yanapatikana kwenye hiyo chanzo. Siku mkianza kushindania makombe mtaporeza dira kabisa. Tuandalieni ti hao academy na miwaingize sokoni haraka kabla hawajashuka bei. Bukayo Saka msimu huu tutamhitaji. Pigeni bei acheni ufala

Madhara ya Bangi za kuvutia chooni

Ndio maana hii Timu inapendwa sana na walimu kwa sababu ina makinda mengi watoto wa shule

Sio wanafaa, Ulaya nzima wanaitambua AsaniAli ni Academy.
Hata uongozi wa Uefa unatambua hilo ndio maana hua wana nafasi yao ya kudumu Europa.
Hata wakifuzu kucheza Uefa wanajua hawa watoto wanatolewa kwenye mchujo, hivyo wameshawekewa nafasi yao ya kudumu pale Europa.

Bangi au nimewapa ukweli, tangu enzi za Asene Wenga ninyi si chuo cha kufyatua wachezaji wazuri wa kuja kuwapa makombe klabu kubwa kama Chelsea. Au umesahau hiyo. Wekeni Saka sokoni, kwa sasa ana bei kubwa mkichelewa mtakosa noti na makombe, bora mkose makombe mshike mshiko

Na madhara ya bangi za kuvutia chooni huwa yanaanza taratibu ila mwisho wake huwa mtu anavua nguo na kujisaidia haja kubwa Barabarani mchana kweupe

Wahi Sober mzee..... Nafasi bado unayo kabla madhara hayajawa makubwa

Tuachane na mambo ya bangi, hiyo ni maigizo tu sema leo mnapandikiziwa ngapi huko

Kuanzia saa nne kasoro robo nitakuwepo hapa na full bangi,

Leo niko na Spurs na tuna jambo letu hapo Tottenham Hotspurs Stadium

Spurs wakiwajaza mtafunga mabakuli, mkitoa droo sisi mtadonoana points huku sisi tukipeta top 4 na kuwachia nafasi ya nne mgombanie wenyewe.
London is Blue

Na Spurs wanajua umuhimu wa mechi ya leo, akimfunga Arsenal posibility ya kuingia top 4 inaongezeka sana
Akidroo au kufunga ndio bye bye top 4
Itawachukua miaka 3-5 hadi hao watoto wakue ndipo muanze kupambana na wakubwa kama Chelsea
Mkiwauza mnaanza tena upya
 
Spurs wana
  1. Liverpool - leo
  2. Burnley
  3. Arsenal
  4. Norwich
Watapata points tu kwa Norwich, kwa arsenal na Burnley wanaweza pata sio zaidi ya 2

Arsenal wana
  1. Leeds
  2. Spurs
  3. Newcastle
  4. Everton
Hwatapata zaidi ya points 6

Hawa Inzi wanatucheka lakini wao hawaangalii ngoma inaypowasubiri
Tuliwaonya lakini
 
Our 3rd position ni yetu MUNGU MKUBWA

Jidanganye yaan umfunge Newcastle

Tuna Leeds
Leicester city
Watford iliyoshuka daraja tayari
Naomba Mungu tuokote pochi mechi zote hizo

Mna Leeds
Spurs
Everton
Hizi timu mkiokota zaidi ya points 3 nitajipiga ban ya mwezi mzima

Spurs wana
  1. Liverpool - leo
  2. Burnley
  3. Arsenal
  4. Norwich
Watapata points tu kwa Norwich, kwa arsenal na Burnley wanaweza pata sio zaidi ya 2

Arsenal wana
  1. Leeds
  2. Spurs
  3. Newcastle
  4. Everton
Hwatapata zaidi ya points 6

Hawa Inzi wanatucheka lakini wao hawaangalii ngoma inaypowasubiri
Tatizo lilianza pale mlipoanza kuvunja amri ya 10 ya Mwenyezi Mungu aliposema
"USITAMANI CHOCHOTE ALICHO NACHO JIRANI YAKO"
Hii laana haitawaacha bure kizazi cha tatu hadi cha nne
 
Ila kocha wenu ni very very imature
Aliyeizamisha hii timu ni kocha kwa kasoro moja tu, immaturity kwenye ukocha. anawaingizia vijana hasira za kijingajinga badala ya kuwafundisha kuwa professionals. Ukiwaangalia wachezaji wa Arsenal wanacheza kibabebabe uwanjani na rafu nyingi. refa akiwaadhibu wanaona wameonewa na kocha wao naye kujifanya bingwa wa public address kwa kuongea hovyo
Hii attitude ya Arteta ikiendelea msimu ujao hivi hamtaambulia hata Europa
 
20c96b42-3a44-438e-a646-706f963c9b67.jpg

Nani tena huyu?
 
Arsenal fans wanachekesha wakishinda mechi mbili tatu basi uchambuzi na tetesi uchwara zinajaa humu pamoja na vingereza vingi uzi unapanda kila wakati fans kibao wapo active lakini wakipigwa wanapoteana kabisa isipokuwa wachache.

Hivi jamaa Aaron Arsenal mbona haungani na fans wenzake wkt wa mojonzi yeye Kazi tetesi na habari za mazoezini timu inapokuwa kwenye form? mbona sisi Nyumbu tuko hapi muda wote uchumbuzi unaendelea wakina Flano , Allypipi na wengine hawapoi ?
 
Arsenal fans wanachekesha wakishinda mechi mbili tatu basi uchambuzi na tetesi uchwara zinajaa humu pamoja na vingereza vingi uzi unapanda kila wakati fans kibao wapo active lakini wakipigwa wanapoteana kabisa isipokuwa wachache.

Hivi jamaa Aaron Arsenal mbona haungani na fans wenzake wkt wa mojonzi yeye Kazi tetesi na habari za mazoezini timu inapokuwa kwenye form? mbona sisi Nyumbu tuko hapi muda wote uchumbuzi unaendelea wakina Flano , Allypipi na wengine hawapoi ?
Hiyo ni kawaida sana, hata wewe ukifungwa morale inashuka, ukishinda inapanda...
Kuhusu kuhusisha wachezaji wapya tena top top ni sawa coz hakuna wachezaji wazuri wanataka kucheza makombe ya mbuzi.

Niambie kama wewe unaenjoy timu yako ikipigwa!
 
Back
Top Bottom