Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Teams za yeye kucheza ni either real Madrid au barca. Kuna wachezaji wanakuwa na ndoto zao, I doubt kama arsenal wanaweza kuwa sehemu ya ndoto za Lewa.
Hata Arsenal ndoto yao sio kuwa na Lewando that's why wanasumbuka na Jesus, ukiuelewa mpira tactically utagundua Ivan toney ni bora kuliko Lewandowski kwenye hii Arsenal team.

Profile, profile, profile, profile wazee, sio tu ukiwa na quality basi unasajiliwa.
 
Hata Arsenal ndoto yao sio kuwa na Lewando that's why wanasumbuka na Jesus, ukiuelewa mpira tactically utagundua Ivan toney ni bora kuliko Lewandowski kwenye hii Arsenal team.

Profile, profile, profile, profile wazee, sio tu ukiwa na quality basi unasajiliwa.
Kwa sasa hata utoe uchambuzi wa kina Gary Neville, timu yetu haina uwezo wa kusajili high profile players. Hata huyo Jesus, tukishindwa kukwolify CL hutamuona. Wewe unayejua tactics tuambie nani atakubali kuja kucheza europa league na profile yake inayoeleweka.
 
Kwa sasa hata utoe uchambuzi wa kina Gary Neville, timu yetu haina uwezo wa kusajili high profile players. Hata huyo Jesus, tukishindwa kukwolify CL hutamuona. Wewe unayejua tactics tuambie nani atakubali kuja kucheza europa league na profile yake inayoeleweka.
Gabriel Jesus amekubali kuja kucheza Arsenal bila kujali inacheza mashindano ya ulaya au Afrika

In short ame accept project yetu,na hii ndo inatakiwa kupata mchezaji ambaye yupo willingly kuja kucheza ktk timu yetu

Kilichobaki ni fee agreement na timu yake tu.......ila kwenye kipengele hiki arsenal huwa tunapoteza muda sana na inatokea timu nyingine faster wanapita nae
 
Arsenal & Bologna have reached an agreement between €20m-€25m for defender Aaron Hickey, following Bologna sporting director Riccardo Bigon’s visit to London this week. There are now ‘last details’ to be finalised for the transfer. [@CalcioNapoli24] #afc
 
Kwa sasa hata utoe uchambuzi wa kina Gary Neville, timu yetu haina uwezo wa kusajili high profile players. Hata huyo Jesus, tukishindwa kukwolify CL hutamuona. Wewe unayejua tactics tuambie nani atakubali kuja kucheza europa league na profile yake inayoeleweka.
So partey & Auba walifuata Ucl Arsenal?
 
Gabriel Jesus amekubali kuja kucheza Arsenal bila kujali inacheza mashindano ya ulaya au Afrika

In short ame accept project yetu,na hii ndo inatakiwa kupata mchezaji ambaye yupo willingly kuja kucheza ktk timu yetu

Kilichobaki ni fee agreement na timu yake tu.......ila kwenye kipengele hiki arsenal huwa tunapoteza muda sana na inatokea timu nyingine faster wanapita nae
No need to waste energy, no one cares about his hypernegativity
 
Gabriel Jesus amekubali kuja kucheza Arsenal bila kujali inacheza mashindano ya ulaya au Afrika

In short ame accept project yetu,na hii ndo inatakiwa kupata mchezaji ambaye yupo willingly kuja kucheza ktk timu yetu

Kilichobaki ni fee agreement na timu yake tu.......ila kwenye kipengele hiki arsenal huwa tunapoteza muda sana na inatokea timu nyingine faster wanapita nae
Ngoja tuone kama huyo Jesus atakuja endapo tutafeli kukwalify CL.
 
Trust me hizo game zilizobaki Tot anashinda zote 2 na Arsenal anashinda zote.
CL ni yetu hakuna wasi juu ya hilo.
 
Gabriel Jesus amekubali kuja kucheza Arsenal bila kujali inacheza mashindano ya ulaya au Afrika

In short ame accept project yetu,na hii ndo inatakiwa kupata mchezaji ambaye yupo willingly kuja kucheza ktk timu yetu

Kilichobaki ni fee agreement na timu yake tu.......ila kwenye kipengele hiki arsenal huwa tunapoteza muda sana na inatokea timu nyingine faster wanapita nae
Ni kawaida ya Mawakala kutoa maneno yenye mvuto huku anapima timu zingine zitakuja na ofa ipi kwa sasa players wote na mawakala wao wanasubiri Ligi ziishe then waje na decision making bado mapema sana hata Jesus hajasema kitu up to now hata Tielemans pia kama Arsenal akiqualify Champions league hundred percent utawaona na jezi za Arsenal next season but kama tutashindwa kuqualify bro utajionea miujiza na hutaamini utakayoyaona
 
Uone na nani? We are not here to prove a point. Ego itakuua chalii.
Mkuu, mpira tunashabikia wote, I'm not here to prove a point coz I don't benefit anything other than supporting the club I love.

Sijui kwa nini mtu akiandika kitu hakikufurahishi lazima um-attack kwa maneno ya karaha. I don't like it and I've chosen to ignore your posts, mda sana!

Now if you don't mind, choose to ignore mine too.
 
Mkuu, mpira tunashabikia wote, I'm not here to prove a point coz I don't benefit anything other than supporting the club I love.

Sijui kwa nini mtu akiandika kitu hakikufurahishi lazima um-attack kwa maneno ya karaha. I don't like it and I've chosen to ignore your posts, mda sana!

Now if you don't mind, choose to ignore mine too.
Sasa unaposema ngoja tuone kama Jesus atakuja without CL una maana ipi kama sio kuprove a point?

Hakuna anayejua wote tunajifunza, mimi nikisema Lewandowsk si aina ya ST tunayemuhitaji unatakiwa unishawishi technically kwanini wamsajili sio kuandika maneno ya kwenye khanga.
 
Hata Arsenal ndoto yao sio kuwa na Lewando that's why wanasumbuka na Jesus, ukiuelewa mpira tactically utagundua Ivan toney ni bora kuliko Lewandowski kwenye hii Arsenal team.

Profile, profile, profile, profile wazee, sio tu ukiwa na quality basi unasajiliwa.
Ivan toney ni bora kuliko Lewandowski
Kupata kichekesho kingine kama hiki unabonyeza ngapi?
 
Back
Top Bottom