Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu, naona Arsenal bado wapo sokoni.

Sasa Andrea Berta yupo azungumza na Galatasaray ambao wamtaka Martinelli.

Arsenal wapo wakipega hesabu kwamba ikiwa Martinelli na Nwanery wataenda Galatasaray basi yawezekana kukafanywa biashara na Victor Omsihen akaenda Arsenal.

Pia Mazungumzo na Aston Villa yaendelea kumsajili Kosa Villa bado wasimamia 60M pauni na Arsenal bado kufika dau.

Tutegemee taarifa nzuri ndani ya masaa 48 yajayo.

Tukumbuke bado Arsenal yahitaji mlinzi, mshambuliaji na winger.

Gabriel Jesus nae yupo jniani kuelekea Napoli baada ya Lukaku kwenda Fenerbahce.

Hivyo, Ezri Konza ni wa kuziba pengo la Saliba, Osimhen ni kuziba pengo la Jesus kama ataenda Napoli na mashambuliaji mwingine wa pembeni ni kuziba nafasi (kama itatokea) Martinelli na Nwanery wataondoka.
 
Wakuu, naona Arsenal bado wapo sokoni.

Sasa Andrea Berta yupo azungumza na Galatasaray ambao wamtaka Martinelli.

Arsenal wapo wakipega hesabu kwamba ikiwa Martinelli na Nwanery wataenda Galatasaray basi yawezekana kukafanywa biashara na Victor Omsihen akaenda Arsenal.

Pia Mazungumzo na Aston Villa yaendelea kumsajili Kosa Villa bado wasimamia 60M pauni na Arsenal bado kufika dau.

Tutegemee taarifa nzuri ndani ya masaa 48 yajayo.

Tukumbuke bado Arsenal yahitaji mlinzi, mshambuliaji na winger.

Gabriel Jesus nae yupo jniani kuelekea Napoli baada ya Lukaku kwenda Fenerbahce.

Hivyo, Ezri Konza ni wa kuziba pengo la Saliba, Osimhen ni kuziba pengo la Jesus kama ataenda Napoli na mashambuliaji mwingine wa pembeni ni kuziba nafasi (kama itatokea) Martinelli na Nwanery wataondoka.
Mlifanya kosa la kumsajili Victor Gyrokerez na mnataka kufanya kwa omsihen aina yenu ya uchezaji haufit strikers za aina hiyo ya uchezaji na ndio maana Gyrokerez ana struggle kufunga open goal badala yake anategemea penalty. Aina yenu ya uchezaji inamuhitaji zaidi striker mnyumbulifu mwenye uwezo wa kuwa false 9 zaidi ya target Man aina ya Martinez wa inter Milan au Juan Alvarez.Ukimuangalia Oshimen ni aina moja na Gyrokerez.
 
Mlifanya kosa la kumsajili Victor Gyrokerez na mnataka kufanya kwa omsihen aina yenu ya uchezaji haufit strikers za aina hiyo ya uchezaji na ndio maana Gyrokerez ana struggle kufunga open goal badala yake anategemea penalty. Aina yenu ya uchezaji inamuhitaji zaidi striker mnyumbulifu mwenye uwezo wa kuwa false 9 zaidi ya target Man aina ya Martinez ya inter Milan au Juan Alvarez.Ukimuangalia Oshimen ni aina moja na Gyrokerez.
Uko sawa na ni kweli aina ya uchezaji wa Arsenal imemuathiri Gyokeres.

Hata timu nyingi sasa hivi watumia hata teknolojia ya AI kutengeneza aina mpya ya ulinzi dhidi ya timu kama Arsenal.

Ila ipo system mpya Arteta yuko aijaribu na ndio maana hata hizi mechi za pre-season Arsenal imefungwa au kutoa sare.
 
Updates- Usajili Arsenal

Andrea Berta ameingia soko la Ujerumani na sasa hivi Arsenal wafanya mazungumzo na Bayern Leverkusen kumsajili beki wa Uingereza Jarell Quansah.

Hiyo ni baada ya kukumbana na ugumu wa Aston Villa ambao wataka pauni milioni 60 kwa Ezra Konsa.

Kabla ya kwenda Bayern Leverkusen Quansah alikuwa ni beki wa Liverpool na alisajiliwa kwa kiasi cha pauni milioni 35.

Mwaka huu Quansah alichezea Uingereza kwenye fainali za kombe la Dunia na beki huyo mwenye umri wa miaka 23 amechezea Bayern mara 44.

Arsenal ina tatizo kwenye safu ya ulinzi ambapo mabeki William Saliba na Jurrien Timber bado ni majeruhi. Pia beki Ben White hana uhakika kwani amekuwa akisumbuliwa na tatizo la majeruhi sugu.

Beki Cristhian Masquera si beki "Verstile" ambae aweza kucheza nafasi mbalimbali na ndiye aliesababisha penalty kwa PSG kwenye champions League kwa kucheza nafasi iso yake.

Wachambuzi wa Arsenal (team analysts) wamemtambua Quansah kuwa aweza kucheza nafasi zote ama pembeni au katikati hivyo "he fits the bill".

Quansah kwa asili ni beki wa kati yaani mkoba lakini alipokuwa Liverpool ambao walikuwa wakitumia mfumo wa 4-3-3, alichezea upande wa kulia.

Lakini pale Bayern amekuwa mara nyingi akichezea upande wa kulia.

1786708965830.png

Beki wa Beyern Leverkusen na timu ya taifa ya Uingereza Jarell Quansah. Picha na PA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom