Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Daah! Mkuu umetosha basii
Tumekosa sisi.




OllaChuga Oc endelea kupiga hapohapo kwenye mshono. Hawa madogo hua wana mdomo sana, tena wakibahatisha kuzifunga timu kubwa hua wanaleta dharau kishenzi.
Daah! Mkuu umetosha basii
Tumekosa sisi.




OllaChuga Oc endelea kupiga hapohapo kwenye mshono. Uefa wangeenda Messi angeomba wapangwe nao kundi moja ajipigie tu 4 kama kawaWaalikuwa na mupango wa kutia aibu timu za London Hawa ..tumewashitukia😂😂😂😂😂
Angeweza kumake top four kama Arsenal ingestrength january + Partey & Tierney kuwa fit? If yes, why?Hili la msingi sana, tulimaliza 8th msimu uliopita, msimu huu tumepanda hadi 5th. Hatuna sababu ya kujiumiza sana, ndio nafasi yetu hiyo.
Hata hivyo, isingekuwa Conte effect 4th spot ingekuwa yetu, kumbuka kabla ya yeye kuja Spurs timu ilikuwa imeshapoteana kabisa, huyu jamaa anajua kuleta positive impact kwa muda mfupi sana.
Kwa hii timu wangeenda kupigwa hamsahamsa za kutoshaArse8 mulitaka kwendaa UEFA ..mulimiss kufungwa na Bayern![]()
We jamaa huwa nakufananisha na fan wa Liverpool anajiita Penison, i'm sorry to say huwa mna umama flani wa kiswahili.Eti kina Nketiah ndo wakupeleke UEFA. Are you serious?

Hatuongelei mambo ya "kama", tunaongea mambo yameshatokea. Partey na Tierney kuwa injured is part of the game, yeye hakulijua hilo?Angeweza kumake top four kama Arsenal ingestrength january + Partey & Tierney kuwa fit? If yes, why?
TomiyasuNinyi mushajihakikishia ushindi wenu kila msimu Ni kuifunga Chelsea na Man U tu tofauti na apo amuna mipango mingine.
Vile viushindi vyenu viwili vitatu mlivyopata Basi vichwa vikajaa majinna kuona kila kitu kinawezekana. hahaha timu lenu limejaa watoto eti akina saka na nkeita ndio wakacheze UEFA kweli..?? Akina pepe na lokonga hahaha dah hampo serious nyie, hata Europa sidhani Kama mutatoboa makundi.
#CFC![]()
Hawawezi kukuelewa hawa, wanatetea watoto wao akina lokonga sambiPoleni sana najuwa maumivu yenu kwani hata sisi Liverpool tulishapitia haya kipindi tunaletewa wachezaji aina ya Benteke na Lallana eti waje watupe Ubingwa.
Hivyo aina ya wachezaji mulionao mutaishia tu kumtukana Artena lakini kiukweli quality ya wachezaji wenu siyo ya kucheza Timu kama Arsenal.
Boss wenu atoe hela asajili wachezaji wa kuweza kudeliver.
Hujajibu nilichouliza, BTW You sound toxic, if i express disagreement in your Opinion doesn't mean i insult you.Hatuongelei mambo ya "kama", tunaongea mambo yameshatokea. Partey na Tierney kuwa injured is part of the game, yeye hakulijua hilo?

Kumbuka mlikuza matumaini Hadi kutaka nafasi ya tatu. Saivi wapolee!Hili la msingi sana, tulimaliza 8th msimu uliopita, msimu huu tumepanda hadi 5th. Hatuna sababu ya kujiumiza sana, ndio nafasi yetu hiyo.
Hata hivyo, isingekuwa Conte effect 4th spot ingekuwa yetu, kumbuka kabla ya yeye kuja Spurs timu ilikuwa imeshapoteana kabisa, huyu jamaa anajua kuleta positive impact kwa muda mfupi sana.
Arsenal's champions League record when they used to qualifyEti kina Nketiah ndo wakupeleke UEFA. Are you serious?
Mbona nimekujibu vizuri tu, Partey na Tierney kuwa out injured ni sehemu ya mpira, wao kama management walitakiwa kujua hilo na kufanya recruitment January. Ukisema "kama" ni kusema timu haina vision, inaendeshwa tu kwa mihemko.Hujajibu nilichouliza, BTW You sound toxic, if i express disagreement in your Opinion doesn't mean i insult you.![]()
Ni kweli, hopes were too high baada ya kuona timu inavuka zile expectations za mwanzo. We were written off just baada ya mechi tatu tu, lakini hata wewe umeona..ni INCONSISTENTCY ndio inatu-cost, maturity na jinsi ya ku-handle important games ili kupata matokeo.Kumbuka mlikuza matumaini Hadi kutaka nafasi ya tatu. Saivi wapolee!
FACTMbona nimekujibu vizuri tu, Partey na Tierney kuwa out injured ni sehemu ya mpira, wao kama management walitakiwa kujua hilo na kufanya recruitment January. Ukisema "kama" ni kusema timu haina vision, inaendeshwa tu kwa mihemko.
Ukija kwangu politely tuta argue, ukija na swagger I'll ignore you.
Mbona nimekujibu vizuri tu, Partey na Tierney kuwa out injured ni sehemu ya mpira, wao kama management walitakiwa kujua hilo na kufanya recruitment January. Ukisema "kama" ni kusema timu haina vision, inaendeshwa tu kwa mihemko.
Ukija kwangu politely tuta argue, ukija na swagger I'll ignore you.

Hizi ni pongezi au kejeli?
HahahahahahahaWe jamaa huwa nakufananisha na fan wa Liverpool anajiita Penison, i'm sorry to say huwa mna umama flani wa kiswahili.![]()
Hahahaha tunataka mukasirike adi muweke miguu mfukoni au mumeze wembe kabisa ...Daah! Mkuu umetosha basii
Tumekosa sisi.