Hizo 150M na 40M ndo nini?Agent wa Jesus atakua anatumia jina la Arsenal ili wanaomtaka Jesus wapande dau.
Juve inamtaka Jesus pia.
Villa wanamchukua Coutinho jumla. Barca ilimnunua kwa zaidi ya 150M ila inamuuza kwa chini ya 40M.
M inasimama badala ya MilioniHizo 150M na 40M ndo nini?
Sawa hiyo million ni pesa ya TZ au pesa ya wapi? EUR,Pound,USD,ZAR,CHF,TZSM inasimama badala ya Milioni
kama sikosei nafikiri ilikuwa euro wakati anauzwa. pound 120-130 hivi. ila anauzwa 40m poundsSawa hiyo million ni pesa ya TZ au pesa ya wapi? EUR,Pound,USD,ZAR,CHF,TZS
sio poa ila siyo mbaya. wasilazimishwe. waachwe wapone vizuri tu. waliopo watajitahidi kushinda.Mikel Arteta says both Ben White and Bukayo Saka are doubtful for Spurs tomorrow. Is this a mind game?
Unaamini Barca na Liva wakifanya biashara watatumia TZS, USD,ZAR, YEN? hii siyo career mode ya FIFA, mara nyingi hua tunaandika M na mashabiki tunaelewana.Sawa hiyo million ni pesa ya TZ au pesa ya wapi? EUR,Pound,USD,ZAR,CHF,TZS
Madhara ya Bangi za kuvutia chooniArse ninyi mnafaa kuwa na academy kama akina Nketiah tu. High profile hamuwawezi
Mmemfukuza Auba sasa kule kakiwasha game 15 goli 11 na assists 1
Akiwa Arse misimu miwili game 43 goli 14
Au mmesahau kuwa Arse ni academy ya kuwakuza vijana na kuwauza. Na mapato yenu yanapatikana kwenye hiyo chanzo. Siku mkianza kushindania makombe mtaporeza dira kabisa. Tuandalieni ti hao academy na miwaingize sokoni haraka kabla hawajashuka bei. Bukayo Saka msimu huu tutamhitaji. Pigeni bei acheni ufala
Ndio maana hii Timu inapendwa sana na walimu kwa sababu ina makinda mengi watoto wa shuleArse ninyi mnafaa kuwa na academy kama akina Nketiah tu. High profile hamuwawezi
Mmemfukuza Auba sasa kule kakiwasha game 15 goli 11 na assists 1
Akiwa Arse misimu miwili game 43 goli 14
Au mmesahau kuwa Arse ni academy ya kuwakuza vijana na kuwauza. Na mapato yenu yanapatikana kwenye hiyo chanzo. Siku mkianza kushindania makombe mtaporeza dira kabisa. Tuandalieni ti hao academy na miwaingize sokoni haraka kabla hawajashuka bei. Bukayo Saka msimu huu tutamhitaji. Pigeni bei acheni ufala














Sio wanafaa, Ulaya nzima wanaitambua AsaniAli ni Academy.Arse ninyi mnafaa kuwa na academy kama akina Nketiah tu. High profile hamuwawezi
Mmemfukuza Auba sasa kule kakiwasha game 15 goli 11 na assists 1
Akiwa Arse misimu miwili game 43 goli 14
Au mmesahau kuwa Arse ni academy ya kuwakuza vijana na kuwauza. Na mapato yenu yanapatikana kwenye hiyo chanzo. Siku mkianza kushindania makombe mtaporeza dira kabisa. Tuandalieni ti hao academy na miwaingize sokoni haraka kabla hawajashuka bei. Bukayo Saka msimu huu tutamhitaji. Pigeni bei acheni ufala
Bangi au nimewapa ukweli, tangu enzi za Asene Wenga ninyi si chuo cha kufyatua wachezaji wazuri wa kuja kuwapa makombe klabu kubwa kama Chelsea. Au umesahau hiyo. Wekeni Saka sokoni, kwa sasa ana bei kubwa mkichelewa mtakosa noti na makombe, bora mkose makombe mshike mshikoMadhara ya Bangi za kuvutia chooni
Nimachojua leo Tottenham anapigwa basi


Spurs wamesema leo hawataki ushindi wa goli chache, wameahidi ushindi wa leo ni kuanzia goli 5 na kuendelea.