Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unapenda sana hayo mambo nini mkuu!!!?? Naona unashupalia sana yn huwezi kutania bila kusema hayo mambo. Tania kivingine mkuu vinginevyo wewe ni mdau au unaelekea kuwa mdau wa hayo mambo. Kitokacho mdomoni mwako ndicho kilichopo/kinachotengenezeka moyoni mwako
Nadhani tatizo lipo kwako kuchukulia mambo yote seriously.
 
IMG_20220517_064131_113.jpg
 
..dah! ndungu zangu tukubali tu..msimu uliopita tulimaliza nafasi ya 8..angalau tumepiga hatua kidogo msimu huu nafasi ya 5...kiukweli kwa timu yetu jinsi ilivyo Europa League ndo level yetu..#coyg
Hili la msingi sana, tulimaliza 8th msimu uliopita, msimu huu tumepanda hadi 5th. Hatuna sababu ya kujiumiza sana, ndio nafasi yetu hiyo.

Hata hivyo, isingekuwa Conte effect 4th spot ingekuwa yetu, kumbuka kabla ya yeye kuja Spurs timu ilikuwa imeshapoteana kabisa, huyu jamaa anajua kuleta positive impact kwa muda mfupi sana.
 
Ninyi mushajihakikishia ushindi wenu kila msimu Ni kuifunga Chelsea na Man U tu tofauti na apo amuna mipango mingine.
Vile viushindi vyenu viwili vitatu mlivyopata Basi vichwa vikajaa majinna kuona kila kitu kinawezekana. hahaha timu lenu limejaa watoto eti akina saka na nkeita ndio wakacheze UEFA kweli..?? Akina pepe na lokonga hahaha dah hampo serious nyie, hata Europa sidhani Kama mutatoboa makundi.
#CFC
Kocha wanaye mzuri sana, ila sasa wachezaji.......
 
Tukishindwa kuqualify champions league Sunday 22nd Jukwaa lifutwe hili haiwezekani every season tupokee matusi ya rivals wetu na heartbreaking moods Moderator mtafanya kazi yenu Jumapili because Management na board hawapo serious at all kuna fans wanaumia na na wenginekukimbia kuccoment JF na wanajulikana huku wao wanapata mapaund Mamilioni toka kwa Arsenal
Ulishajiapiza viapo vya kila aina lakini sasa cha ajabu maumivu yako ni furaha kubwa mno kwa unaowategemea kukupa faraja
 
Back
Top Bottom