Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwanzo wa msimu wengi tuliamini Arsenal haiwezi kumake top four, so why are you disappointed?
Angalia hapo
FB_IMG_1652771395404.jpg
 
Arse8 tulishayaambia kuwa furaha yao ni kujitutumua kuzifunga timu kubwa tu kama Chelsea, Man Utd lakini wataendelea kubaki kuwa underdogs tu hadi dunia isimame ila wameshupaza shingo [emoji1787]
Waalikuwa na mupango wa kutia aibu timu za London Hawa ..tumewashitukia😂😂😂😂😂
 
..dah! ndungu zangu tukubali tu..msimu uliopita tulimaliza nafasi ya 8..angalau tumepiga hatua kidogo msimu huu nafasi ya 5...kiukweli kwa timu yetu jinsi ilivyo Europa League ndo level yetu..#coyg
Hili la msingi sana, tulimaliza 8th msimu uliopita, msimu huu tumepanda hadi 5th. Hatuna sababu ya kujiumiza sana, ndio nafasi yetu hiyo.

Hata hivyo, isingekuwa Conte effect 4th spot ingekuwa yetu, kumbuka kabla ya yeye kuja Spurs timu ilikuwa imeshapoteana kabisa, huyu jamaa anajua kuleta positive impact kwa muda mfupi sana.
 
Uyo bellerin kitambo Ni shoga aanajulikana, Hawa akina pepe na hao madogo wengine lacazete anawafukua wakija kwenye pitch hamuna marinda Tena watoto mchele mchele wanaishia kuruka ruka uwanjani
lacazete mpuuzi sana, kashindwa kutikisa nyavu za timu pinzani kaamua kutikisa tundu za team mates wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninyi mushajihakikishia ushindi wenu kila msimu Ni kuifunga Chelsea na Man U tu tofauti na apo amuna mipango mingine.
Vile viushindi vyenu viwili vitatu mlivyopata Basi vichwa vikajaa majinna kuona kila kitu kinawezekana. hahaha timu lenu limejaa watoto eti akina saka na nkeita ndio wakacheze UEFA kweli..?? Akina pepe na lokonga hahaha dah hampo serious nyie, hata Europa sidhani Kama mutatoboa makundi.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Kocha wanaye mzuri sana, ila sasa wachezaji.......[emoji16][emoji2960]
 
Tukishindwa kuqualify champions [emoji471] league Sunday 22nd Jukwaa lifutwe hili haiwezekani every season tupokee matusi ya rivals wetu na heartbreaking moods Moderator mtafanya kazi yenu Jumapili because Management na board hawapo serious at all kuna fans wanaumia na na wenginekukimbia kuccoment JF na wanajulikana huku wao wanapata mapaund Mamilioni toka kwa Arsenal
Ulishajiapiza viapo vya kila aina lakini sasa cha ajabu maumivu yako ni furaha kubwa mno kwa unaowategemea kukupa faraja [emoji38]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom