Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,856
- 103,820
Nadhani tatizo lipo kwako kuchukulia mambo yote seriously.Unapenda sana hayo mambo nini mkuu!!!?? Naona unashupalia sana yn huwezi kutania bila kusema hayo mambo. Tania kivingine mkuu vinginevyo wewe ni mdau au unaelekea kuwa mdau wa hayo mambo. Kitokacho mdomoni mwako ndicho kilichopo/kinachotengenezeka moyoni mwako





league Sunday 22nd Jukwaa lifutwe hili haiwezekani every season tupokee matusi ya rivals wetu na heartbreaking moods Moderator mtafanya kazi yenu Jumapili because Management na board hawapo serious at all kuna fans wanaumia na na wenginekukimbia kuccoment JF na wanajulikana huku wao wanapata mapaund Mamilioni toka kwa Arsenal
