Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Nishafafanua
Acha ubabe
Nishafafanua
Kashatumbukiza 2 huko bado 1 apate hatrick






Watu Wamedai Chenji Mpaka Wametoa![]()



Kenge wamepigwa ki Rodrygo


li timu la mchongo hili.Jidanganye yaan umfunge NewcastleOur 3rd position ni yetu MUNGU MKUBWA

Acha KabisaaKenge wamepigwa ki Rodrygo

, Na Walikuwa Wanapigwa Kama H.Hee-Chan Angekuwa Makini Kuna Nafasi Alipata Alibaki Na Mendy Tu Akakosa.
4+Naona goli nyingi leo hapa
Leicester na leeds unadondosha points sijui ngap,Tuna Leeds
Leicester city
Watford iliyoshuka daraja tayari
Naomba Mungu tuokote pochi mechi zote hizo
Kilio cha hao mbwa manazisikia huko darajani. Sisi hatubembelezi mbwa


kusikia kwa kenge mpaka pale damu inapoanza kutoka matakoni, na style ya mbwa mwitu hua wanaanza kushambulia mkiani mpaka wahakikishe damu inatoka kwenye nusu kipenyo. Wasiwasi wa points uko kwa Leeds tuTuna Leeds
Leicester city
Watford iliyoshuka daraja tayari
Naomba Mungu tuokote pochi mechi zote hizo