Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama 'ubaba' kwako ndo ule upupu unaotumaga kule kwenye threads za wengine basi inabidi 'ubaba' upate new definition kwakweli.


Uhalisia ni kwamba huna quality ya wachezaji wenye mentality za big games na huna wachezaji quality kwa UEFA. Wachezaji hawajui mechi muhimu wala kufanya mamuzi muhimu kutokana na umuhimu wa mechi, mechi za kushinda wao wanaenda kutafuta red cards or doing childish decisions, na ubaya hizo childish minds zimewaambukiza hadi baadhi ya mashabiki.

Hao kina Nketiah, Soares, Lokonga, Smith Rowe, Holding n.k ni fullset ya kukupeleka Europa na Conference Leagues huko, na huko pia sio kama title contenders bali kutoa ushindani tu.

Wekezeni pesa. Mpe Arteta pesa za usajili maana ushawishi wa big players kuja hapo ni uongo, so angalau pesa iwepo pengine itavuta watu vingine ni marktime tu.
Yaani utaishia kupoteza nguvu zako bure kuzielekeza hizi mbuzi.
Hawa jamaa kushiriki Europa na Conference kwao wanaona ni mafanikio makubwa sana ukijumlisha na zile chenga anazopiga Saka wanaona ndio wameshamaliza kila kitu.

Sasa wenyewe wanakwambia msimu huu chini ya the Big Coach Arteta kwao ni wa mafanikio makubwa sana kwa kushika nafasi ya 5 sababu mwaka jana waliishia nafasi ya 8.

Hawa ukitaka wakuelewe we sifia tu chenga za Saka na Martinely pamoja na magoli ya Nketiah.
 
Hawa jamaa wanachukulia soka seriaz sana hukuti majukwaa mengine fans kwa fans wanatukanana matusi mazito ila humu unakuta wanapanic sana nahisi wangekuwa mtaani hata makonde wangerushiana bora Mzee wa takwimu na tetesi anasubiri wkt wa vita kupoa si ajabu anatokea wkt wa Pre season kuendelea na Kazi yake
Hio ni kawaida ya mbuzi, wanaweza kipigana mapembe kwa kugombania majani yaliyo juu ya mti ambayo hawawezi hata kuyafikia.
 
Kama 'ubaba' kwako ndo ule upupu unaotumaga kule kwenye threads za wengine basi inabidi 'ubaba' upate new definition kwakweli.


Uhalisia ni kwamba huna quality ya wachezaji wenye mentality za big games na huna wachezaji quality kwa UEFA. Wachezaji hawajui mechi muhimu wala kufanya mamuzi muhimu kutokana na umuhimu wa mechi, mechi za kushinda wao wanaenda kutafuta red cards or doing childish decisions, na ubaya hizo childish minds zimewaambukiza hadi baadhi ya mashabiki.

Hao kina Nketiah, Soares, Lokonga, Smith Rowe, Holding n.k ni fullset ya kukupeleka Europa na Conference Leagues huko, na huko pia sio kama title contenders bali kutoa ushindani tu.

Wekezeni pesa. Mpe Arteta pesa za usajili maana ushawishi wa big players kuja hapo ni uongo, so angalau pesa iwepo pengine itavuta watu vingine ni marktime tu.
We unataka kuargue mambo ya mpira na mimi! Kwamba Arsenal iwekeze pesa! Hivi ukiachana na Allison & Van dijk kuna mchezaji gani wa Liverpool mwenye bei special Arsenal wangeshindwa kumnunua?
.Mo salah kutoka Roma ?
.Sadio Mane kutoka Soton?
.Luis Diaz ?
.Fabinho?
 
Mimi na wewe ni fans wa Arsenal but hujantajia big achievements za Arsenal in 15 years taja tuone hizo achievements unazojivunia!I repeat kuwa fan wa timu fulani is not an issue but those teams ulizozitaja for now unaweza ukazilinganisha na Arsenal ambayo ni big team na timu tajiri kwa kizazi cha sasa?kuzilinganisha hizo teams na Arsenal it means umekubali kuwa Arsenal ni smallest team in the world right?
We jamaa hua unaongeaga point kinoma, unawabananisha wenzio kwa maswali ya IQ kubwa, wakikosa majibu wanaanza kukudhihaki na kukutukana kisha wanakuita mamluki.
computerarsenal ulikosea sana kuwa shabiki wa hili genge la Kroenke.
 
Kwahiyo unadhani wale mashabiki wa Blackburn Rovers na Nottingham forest na Newcastle wote hawajui??? This is football!

Sisi ni washabiki wa Coastal Union n tulishinda kombe la Tanzania 1988 ila hutuambii kitu na timu hii na Sisi sio wajinga
Sure, loyalty is not grey, it is black or White. Few will understand.
 
Sure, loyalty is not grey, it is black or White. Few will understand.
Yes! And we have taken some serious oaths on this team. We will go with it no matter what! Yes, it pains us, so much! So much that one can't imagine. But we will remain Gunners forever
 
20220518_142351.jpg
 
We unataka kuargue mambo ya mpira na mimi! Kwamba Arsenal iwekeze pesa! Hivi ukiachana na Allison & Van dijk kuna mchezaji gani wa Liverpool mwenye bei special Arsenal wangeshindwa kumnunua?
.Mo salah kutoka Roma ?
.Sadio Mane kutoka Soton?
.Luis Diaz ?
.Fabinho?

Basi let's agree to disagree kwamba Arsenal kuna shida kwenye scouting! Isn't it?
 
Kwasababu ya mifano yako ya juu jinsi ulivyonijibu unavyoshindana na Timu kubwa lakini unapata shida kwa Kina Newcastle and other Teams za bottom half of the table.

Hii ni small Team Mentality
Newcastla hatakiwi kumfunga Arsenal? If yes, why?
 
Huwa nashangaa sana shabiki wa timu ambaye anatumia majukwaa haya kutoa lawama kwa arteta ama bodi nzima ya arsenal kana kwamba hawa watu wapo humu..

Mi nadhan tunapaswa kuangalia kiufundi na kiuhalisia performance yetu kwasasa na siku za nyuma ipoje, pia nini tunapaswa kufanya ili walau msimu ujao tuweze kufika ata top 4..

Lakin pia ni kweli timu hizi tunazipenda lakin hatuna mamlaka nazo katika maswala ya kiuongozi hvyo tunapaswa kukubaliana na ukweli mchungu ya kwamba tupo kwenye kipind kigum cha ushabik Zaid ya miaka 19 sasa, hvyo si vyema kutoa maneno yenye kuumizana moyo katka kitu ambacho hatuna uwezo wa kubadili chochote.

Tukishinda tufurah tukifungwa tuuzunike na maisha yaendelee ata man city na chelsea wamewah pitia kipind kigum kama hiki kikubwa kuukubali ukweli kwamba tupo pabaya na tutapita
 
Newcastla hatakiwi kumfunga Arsenal? If yes, why?
Kupata matokeo mabaya hasa kwa michezo muhimu inaumiza sana lkn nadhani kuna muda watu tunasahau uhalisia wa mpira/michezo. Kila timu inaweza kupata matokeo chanya kwa mpinzani wake bila kujali mpinzani ni mkubwa kiasi gani. Local fans tunashabikia kihisia kuliko kiuhalisia
 
Arsenal fans wanachekesha wakishinda mechi mbili tatu basi uchambuzi na tetesi uchwara zinajaa humu pamoja na vingereza vingi uzi unapanda kila wakati fans kibao wapo active lakini wakipigwa wanapoteana kabisa isipokuwa wachache.

Hivi jamaa Aaron Arsenal mbona haungani na fans wenzake wkt wa mojonzi yeye Kazi tetesi na habari za mazoezini timu inapokuwa kwenye form? mbona sisi Nyumbu tuko hapi muda wote uchumbuzi unaendelea wakina Flano , Allypipi na wengine hawapoi ?
Huyo jamaa hana tofauti na OllaChuga Oc
 
Ukweli mchungu huu. Kikosi kimekosa maturity na discipline kuanzia kocha. Tumeamua kuwapa muda wapevuke so acha tu tuumie. Chance tumeipambania mpaka tukaishika mikononi halafu tukaiachia tena wenyewe
it hapen for reason or incident
 
Back
Top Bottom