Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal are now preparing paperworks to complete Marquinhos deal with São Paulo. Brazilian club will receive around €3/3.5m total fee with immediate payment, once final details will be sorted. ⌛️🇧🇷 #AFC

Marquinho's born in 2003 and his contract with São Paulo was expiring.

Fabrizio Romano
 
Mimi nimeanza kukuambia. Lakini wewe si ndiye umeanza mambo ya kunyanduana?
Naona team Arsenal vs team Chelsea mnabishana for now on watu wa kuargue nao ni team Liverpool ambao wana Big achievements katika dunia hii otherwise itakuwa ni kupotezeana muda tu
 
Why Arsenal tusipeleke ofa Robert Lewandoski?tena fee haitakuwa kubwa why?tukiqualify champions league tumsign best striker in the world atatupa Big trophies huyu
 
Tusisikilize hizi kelele.

Tukimfunga Newcastle na Everton hizo ni points 72 na namba nne tunakua tumeikaa.

Kama tutashindwa kufunga timu zilizo nafasi ya 14 na 16 kipindi cha muhimu kama hichi basi haina haja kwenda huko CL.

Kuna ukwel hapa
 
Ana level ya timu zake anataka kucheza kabla hajastaafu na sio Arsenal Ankal
Real Madrid kuna Benzema PSG kuna Messi Manchester City kuna Haaland Manchester United kuna Ronaldo why not us?ina maana sisi ni middle team?bro tukifuzu champions league anything can happen kusema ana level ya team zake na sisi hatumfai basi itakuwa tumeshuka lilevel ya soccer in high speed

Kama anataka kuondoka na tukaqualify champions league ni bora tumgombanie Lewandoski kuliko Jesus mara Milioni
 
Real Madrid kuna Benzema PSG kuna Messi Manchester City kuna Haaland Manchester United kuna Ronaldo why not us?ina maana sisi ni middle team?bro tukifuzu champions league anything can happen kusema ana level ya team zake na sisi hatumfai basi itakuwa tumeshuka lilevel ya soccer in high speed
Huo ndo ukweli mkuu tumepoteza mvuto wa wachezaji wazuri na wakubwa wote duniani

Robert anaenda Barcelona....... Ni swala la muda tu
 
Why Arsenal tusipeleke ofa Robert Lewandoski?tena fee haitakuwa kubwa why?tukiqualify champions league tumsign best striker in the world atatupa Big trophies huyu
Kuna chansi kubwa ukampata Hazard, Suarez au Griezman kuliko Lewa.

Lewa ana rekodi amezitengeneza na yupo katika umri ambao hana muda wa kupoteza so ni ngumu akaja kwenye project ya rebuild unless ukampa mpunga wa maana ila sidhani kama anaweza kuja.
 
Why Arsenal tusipeleke ofa Robert Lewandoski?tena fee haitakuwa kubwa why?tukiqualify champions league tumsign best striker in the world atatupa Big trophies huyu
Teams za yeye kucheza ni either real Madrid au barca. Kuna wachezaji wanakuwa na ndoto zao, I doubt kama arsenal wanaweza kuwa sehemu ya ndoto za Lewa.
 
Tusisikilize hizi kelele.

Tukimfunga Newcastle na Everton hizo ni points 72 na namba nne tunakua tumeikaa.

Kama tutashindwa kufunga timu zilizo nafasi ya 14 na 16 kipindi cha muhimu kama hichi basi haina haja kwenda huko CL.
Inspirational (motivation) Speaker
Endelea kuwahamasisha tu wenzako kuwa mabilinea kwa kulima matikiti maji.
 
Back
Top Bottom