Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Spurs hawezi kupoteza game tena, yupo Conte pale ujuwe. Actually kama conte asingekuja spurs, tusingepata mpinzani wa nafasi ya nne.
we jamaa umeandika unachokiona na huo ndo uhalisia watu hawatazami ubora wa spurs unaanzia wapi,kiufupi binafsi yangu nikiwatazama makocha wote duniani Conte ndo kocha pekee anaeweza kuibadilisha timu ndani ya kipindi kifupi mno.Chelsea,Inter na hii Spurs zote zimekuwa imara katika msimu wake wa kwanza tu ,inawezekana kupoteza game yao na Norwich lakini ni ngumu mno.
 
Tukishindwa kuqualify champions league Sunday 22nd Jukwaa lifutwe hili haiwezekani every season tupokee matusi ya rivals wetu na heartbreaking moods Moderator mtafanya kazi yenu Jumapili because Management na board hawapo serious at all kuna fans wanaumia na na wenginekukimbia kuccoment JF na wanajulikana huku wao wanapata mapaund Mamilioni toka kwa Arsenal
 
Ninyi mushajihakikishia ushindi wenu kila msimu Ni kuifunga Chelsea na Man U tu tofauti na apo amuna mipango mingine.
Vile viushindi vyenu viwili vitatu mlivyopata Basi vichwa vikajaa majinna kuona kila kitu kinawezekana. hahaha timu lenu limejaa watoto eti akina saka na nkeita ndio wakacheze UEFA kweli..?? Akina pepe na lokonga hahaha dah hampo serious nyie, hata Europa sidhani Kama mutatoboa makundi.
#CFC💙💙💙
 
Poleni sana najuwa maumivu yenu kwani hata sisi Liverpool tulishapitia haya kipindi tunaletewa wachezaji aina ya Benteke na Lallana eti waje watupe Ubingwa.

Hivyo aina ya wachezaji mulionao mutaishia tu kumtukana Artena lakini kiukweli quality ya wachezaji wenu siyo ya kucheza Timu kama Arsenal.
Boss wenu atoe hela asajili wachezaji wa kuweza kudeliver.
 
Arteta ni kocha bora Sana tumpe muda atatupa UEFA na ma EPL ya kutosha
Squads
IMG_20220517_070514_483.jpg
 
Poleni sana najuwa maumivu yenu kwani hata sisi Liverpool tulishapitia haya kipindi tunaletewa wachezaji aina ya Benteke na Lallana eti waje watupe Ubingwa.

Hivyo aina ya wachezaji mulionao mutaishia tu kumtukana Artena lakini kiukweli quality ya wachezaji wenu siyo ya kucheza Timu kama Arsenal.
Boss wenu atoe hela asajili wachezaji wa kuweza kudeliver.
Hatuna quality lakini tunachallenge Spurs wenye kane & Son, hatuna quality ila tumeshinda game nyingi EPL ukitoa Liverpool & City, tuache kuwa biased, at times kama hujui unachoandika ni bora kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom