mizuno
Senior Member
- Mar 12, 2014
- 143
- 188
we jamaa umeandika unachokiona na huo ndo uhalisia watu hawatazami ubora wa spurs unaanzia wapi,kiufupi binafsi yangu nikiwatazama makocha wote duniani Conte ndo kocha pekee anaeweza kuibadilisha timu ndani ya kipindi kifupi mno.Chelsea,Inter na hii Spurs zote zimekuwa imara katika msimu wake wa kwanza tu ,inawezekana kupoteza game yao na Norwich lakini ni ngumu mno.Spurs hawezi kupoteza game tena, yupo Conte pale ujuwe. Actually kama conte asingekuja spurs, tusingepata mpinzani wa nafasi ya nne.
league Sunday 22nd Jukwaa lifutwe hili haiwezekani every season tupokee matusi ya rivals wetu na heartbreaking moods Moderator mtafanya kazi yenu Jumapili because Management na board hawapo serious at all kuna fans wanaumia na na wenginekukimbia kuccoment JF na wanajulikana huku wao wanapata mapaund Mamilioni toka kwa Arsenal