PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,113
- 29,924
Hiyo ndiyo fashion sikuhizi,unarusha jiwe gizani alafu siku ya pili unakuja kuomba samahani Kwa kile ulichofanya Jana....Safi Sana diallo ujumbe wako wa Kwanza tumeupata
Ukweli upi?Aombe radi kwa kuongea ukweli?
Hujui kuwa kamanda kafiwa,jiwe alikuwa kichaaCdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Alikuwa na faili Mirembe!Ukweli upi?
Lack of common sense?Usikute na mtoa mada nae faili lake lipo huko huko Mirembe! Nawaza tu lakini.
Viongozi wote wana mafaili Milembe kama ulikuwa haujui!Alikuwa na faili Mirembe!
JidanganyeWale walikua ni polisi waliovalia kijeshi
Hahahaha CCM wanasisitiza jamaa auwaweHujui kuwa kamanda kafiwa,jiwe alikuwa kichaa
Lakini si kama yule aliyesema tukae na mavi yetu majumbani.Viongozi wote wana mafaili Milembe kama ulikuwa haujui!
Hii kuendesha maisha kwa kutegemea siasa ni mbaya sana. Mtu unalazimika kuwa mnafiki na kusema uongo ili tu usifukuzwe uanachama. Hivi hawa watu hawana kazi nyingine?Unasumbuliwa na utoto.
CCM amruhusu watu kusema ukweli?
Ni kama Slaa wa Chadema aliyesema CCM ni choo!Lakini si kama yule aliyesema tukae na mavi yetu majumbani.
Kwani kosa lake ni nini hasa?Ajiuzulu uenyekiti wa mkoa!
Hapo hajaomba radhi bali amesisitiza!
... Jamaa kapigia mstari vizuri sana. Kwamba Dr. Diallo (PhD) hakujua anaongelea past tense ni zaidi ya mzaha.Hii sio radhi bali ni msisitizo wa alichosema.