Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,991
Magufuli alikataliwa. Na yeye alijua hilo. Ndio maana pamoja na kufanya mengi, bado alihitaji kupora uchaguzi. Ndio maana hakutaka uhuru wa habari, ndio maana alipiga vita DemokrasiaNyinyi wananchi mlikubali vipi muongozwe na kichaa, au na nyinyi ni vichaa?