Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,401
- 81,885
Kwa sababu ya kusema ukweli! Hakika kwahiki ulicho kiandika, umenikumbusha ile riwaya ya Kiingereza ya An Enemy of the People!huyu afutiwe uanachama kabisa
Kwa sababu ya kusema ukweli! Hakika kwahiki ulicho kiandika, umenikumbusha ile riwaya ya Kiingereza ya An Enemy of the People!huyu afutiwe uanachama kabisa
Mwenyekiti mwehu, waziri aliyemteua ashike wizara ya uvuvi ni kichaa mwenzake, Ndugai mwenyewe amesema ana file Mirembe? Chama Cha Machizi ( CCM)Magufuli alikuwa ni kichaa kwa maneno yake na matendo yake.
Ndugai ni kichaa kwa maneno yake na matendo yake hivyo tulieni
Amejua kuwa alifanya fyongo na kuongea pumba. Ili iwe fundisho kwa wanafiki kama Diallo apewe adhabu kali na kutimuliwa kabisa.
View attachment 1849700
Kwa sababu ya kusema ukweli! Mnanikumbusha ile riwaya ya Kiingereza ya An Enemy of the People!
Amejua kuwa alifanya fyongo na kuongea pumba. Ili iwe fundisho kwa wanafiki kama Diallo apewe adhabu kali na kutimuliwa kabisa.
View attachment 1849700
Hizo zi tekiniki za kisiasa, ujumbe uliokusudiwa umeshafika!!na hiyo radhi haiwezi kuufuta huo ujumbe😂 neno likisha chomoka halirudishiki mdomooni pinda mugongo pinda mugongo pinda muugongo🕺
Aombe radhi kwa kuongea ukweli?Ajiuzulu uenyekiti wa mkoa!
Hapo hajaomba radhi bali amesisitiza!
Wale walikua ni polisi waliovalia kijeshiKule kwenye mapango ya Amboni kuna mpaka wa Tanzania na nchi gani ?
Maana tuliona jeshi likidhibiti wahalifu
Message sent and delivered, kama Mwendazake alivyokuwa akisema.Hilo la kuomba msamaha mmemlazimisha Kama kawaida yenu! Hata hivyo message was delivered already na walaji walishafanya conclusion na kuyatamka Yale maneno maarufu ya kuwa "nilijua TU kuwa alikuwa kichaa"! Kuubadilisha huu msemo na msimamo Kwa Sasa ni ngumu Sana na ni Bora tujadili ya mot wa kariakoo na ubovu wa magari ya fire!
Hapo analinda tu ugali wake. Maana anawafahamu fika mtaanza haraka iwezekanavyo kumsumbua kwa hila za kila aina, kwenye biashara zake.kwanini ameomba radhi?
kwama hana kosa angekaa kimya
Unasumbuliwa na utoto.
hata Diallo utamwita mtoto. Utovu wa nidhamu ni jadi yenu Mataga ndio maana hata Warioba mlimpiga mitamaUnasumbuliwa na utoto.
CCM amruhusu watu kusema ukweli?huyu afutiwe uanachama kabisa
Huyu anataka auwaweKwa sababu ya kusema ukweli! Hakika kwahiki ulicho kiandika, umenikumbusha ile riwaya ya Kiingereza ya An Enemy of the People!
Anasisitiza kwamba tusije tukarudia makosa kama ilivyotokea huko nyumba 2015 tukakabidhi Tena nchi kwa Kichaa kama MwendaAkhera!Baada ya kusema ukweli kuhusu awamu iliyopita jinsi ilivyonyanyasa watu wakiwemo wana-CCM wenyewe, hali hio imewachukiza sana wana CCM ambao walikua wanufaika wa unyanyasaji huo hali iliyopelekea Dr Diallo kuikana kauli yake muda mfupi uliopia.