Ally Hapi ni mfano mzuri kwa kufanya kilimo baada ya kutenguliwa ukuu wa mkoa. Ameonesha kwa vitendo kwamba siyo lazima apate cheo cha kisiasa ili aishi.
Kwa uzoefu aliopata kwenye kilimo, atakuwa kiongozi anayejua shida za wakulima.
 
Wataalamu wa serikali na siasa hii ya kupata appointment za chama na serikali inaingilianaje? Inaruhusiwa kisheria hiyo?
 
Lucas Mwaashambwa na Mayalla naona wanaendelea kukosa mvuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…