2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Morocco technically sio timu nzuri ila ina wachezaji wanaojituma uwanjani nothing else

Morocco ni waoga sana kushambuliwa,wakishambuliwa kwa dkk tano mfululizo lazima wafanye makosa

Nakumbuka mechi yao dhidi ya ureno robo fainali kombe la dunia 2022

Kila ureno alipokuwa kwenye flow ya kutengeneza mashambulizi wachezaji wa morroco walikuwa wanaingia kiwewe sana ponapona yao ilikuwa kukaba kwa namba kubwa kila mchezaji wa ureno anapokuwa na mpira


Kwangu mimi mchezaji wa hatari wa morroco ni ounah na hakimu pale timu inapokuwa offensive ila kwenye defensive hakimu average

Yule forward wao ngongoti wa sevilla ni wakawaida mno sio mshambuliaji wa kumtegemea
 
Bakambu na Mangungu wote ni kitu kimoja
GEXIwu1WwAA4rGM.jpeg
 
Back
Top Bottom