EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,534
#BREAKINGNEWS: Watu 10 wamefariki dunia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya Lori la Polisi kugongana na gari dogo la mizigo (KIRIKUU), katika eneo la Datch Conner, Siha mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa Wilaya ya Siha Christopher Timbuka amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, huku akibainisha kuwa katika ajali hiyo waliofariki wanawake ni 6 na Wanaume 4, majeruhi wapo katika hospitali ya Siha na Maiti imehifadhiwa hospitali ya Kibon'oto, ambapo taratibu za kutambua waliofariki zinafanyika.
#itvdigital
Mkuu wa Wilaya ya Siha Christopher Timbuka amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, huku akibainisha kuwa katika ajali hiyo waliofariki wanawake ni 6 na Wanaume 4, majeruhi wapo katika hospitali ya Siha na Maiti imehifadhiwa hospitali ya Kibon'oto, ambapo taratibu za kutambua waliofariki zinafanyika.
#itvdigital