Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
Kwani wewe hukijui cham dola!!Siasa za kipumbavu kabisa, mtu anabuguliwa kutokana na chama anachokifuata.
Yaani mtu akiwa CCM anakuwa Ni raia daraja la Kwanza, na wapinzani Ni raia daraja la pili.
Hi dhambi uliyoasisiwa na Magufuli Mungu atamhukumu nayo