Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Ilikuwa zamani cku hiz kawaida tu
Hivi hiyo Nchi ya Tanganyika iko wapi kwa sasa ?Habari wadau! Tukutane hapa kujua yanayojiri leo mwanza kwenye mahadhimisho ya miaka ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika
Kuna baadhi ya wanasiasa wamesema hawawezi kuhudhuria kwenye sherehe ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika kwa sababu hakuna uhuru.
Tusije kushangaaa kuona wanasiasa waliosema hawawezi kuhudhuria wanakuwa mstari wa mbele katika kuelezea na kukosoa yatakayojiri kwenye sherehe hizo katika uwanja wa Kirumba, Mwanza.
Hawa wanasiasa lazima waelewe kuwa hata kuangalia tukio la kumbukumbu ya uhuru kwenye luninga (Tv) haina tofauti na mtu ambaye amehudhuria sherehe hizo. Kama hawataki kuhudhuria kwenye sherehe hizo kwa sababu hazina maana kwa sasa basi wasiangalie hata yanayojiri kwa kutumia luninga (Tv) ili kuutendea haki msimamo wao.
Kutokuangalia yanayojiri kwa njia ya luninga (Tv) watakuwa wamelitendea haki tangazo lao la kutokuhudhuria kwenye sherehe hizo.
Nchi hii kuna baadhi ya watu utawasikia wakisema, ''Mimi huwa siangalii kituo fulani cha luninga'' lakini cha kushangaza huwa wa kwanza kuelezea tukio linalotokea kwenye kituo hicho cha luninga!
Muungano ni nchi mbili Tanganyika na Zanzibar,Nchi ya Zanzibar ipo je nchi ya Tanganyika ipo wapi?The truth... just ahead
Kuna baadhi ya wanasiasa wamesema hawawezi kuhudhuria kwenye sherehe ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika kwa sababu hakuna uhuru.
Tusije kushangaaa kuona wanasiasa waliosema hawawezi kuhudhuria wanakuwa mstari wa mbele katika kuelezea na kukosoa yatakayojiri kwenye sherehe hizo katika uwanja wa Kirumba, Mwanza.
Hawa wanasiasa lazima waelewe kuwa hata kuangalia tukio la kumbukumbu ya uhuru kwenye luninga (Tv) haina tofauti na mtu ambaye amehudhuria sherehe hizo. Kama hawataki kuhudhuria kwenye sherehe hizo kwa sababu hazina maana kwa sasa basi wasiangalie hata yanayojiri kwa kutumia luninga (Tv) ili kuutendea haki msimamo wao.
Kutokuangalia yanayojiri kwa njia ya luninga (Tv) watakuwa wamelitendea haki tangazo lao la kutokuhudhuria kwenye sherehe hizo.
Nchi hii kuna baadhi ya watu utawasikia wakisema, ''Mimi huwa siangalii kituo fulani cha luninga'' lakini cha kushangaza huwa wa kwanza kuelezea tukio linalotokea kwenye kituo hicho cha luninga!
Na yule askofuWapinzani wanasubiri Jemadari Magufuli atamke neno moja tu walijadili wiki nzima
Hawa jamaa hunifurahisha sana
Yupo ameketi jirani na Dr Bashiru na mzee Mangulla!Mbowe simuoni Mbowe na walisema wanaenda