pelius laurent
Senior Member
- Oct 7, 2019
- 131
- 122
Hello, Ndugu naomba msaada kidogo, Mimi pia ni mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal kada ya MSAIDIZI WA HESABU II, maswali yangu ni:-
1. Majina yangu ya cheti cha kuzaliwa ni PELIUS MUKIZA LAURENT, form four na vya chuo vyote ni PELIUS M LAURENT na halafu kibaya zaidi ni kwenye nida majina ni PELIUS MUKIZA KALENGELEZI ambalo hilo la tatu ni la babu yangu JE? hapo nikienda na avidavit ya kukubali hayo majina yote hawazingui?
2. Na kwenye nida wanahitaji kitambulisho? Au namba tu maana mm ninayo namba na kama wanahitaji kitambulisho nafanyaje hapo?
3.Na kwenye usaili wanaangalia muonekano?(mavazi, nywele n.k)
4. Na ni vitu gani vya kuzingatia ukiingia kwenye chumba cha usaili wa kufanya mtihani (yaani umepewa karatasi nini unaanza kuandika juu kati ya majina na namba yako ya usaili)
5. Kwa walio wazoefu kwenye msaidizi wa hesabu II naomba kujua maswali yanakuaje
NB. Nimeuliza maswali mengi kwa sababu sijawahi fanya interview yoyote na ndo mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal, na nimeuliza haya maswali ili ikitokea nmeitwa kwenye usaili nijue naenda na nini ili nisije saga nauli bure na nisipo itwa nasubilia nafasi nyingine huko mbele TAFADHARI ndugu zangu naomba msaada wenu kama hamtojali kwa sababu naamini kuna wazoefu humu 🙏🙏 naomba kuwasilisha
1. Majina yangu ya cheti cha kuzaliwa ni PELIUS MUKIZA LAURENT, form four na vya chuo vyote ni PELIUS M LAURENT na halafu kibaya zaidi ni kwenye nida majina ni PELIUS MUKIZA KALENGELEZI ambalo hilo la tatu ni la babu yangu JE? hapo nikienda na avidavit ya kukubali hayo majina yote hawazingui?
2. Na kwenye nida wanahitaji kitambulisho? Au namba tu maana mm ninayo namba na kama wanahitaji kitambulisho nafanyaje hapo?
3.Na kwenye usaili wanaangalia muonekano?(mavazi, nywele n.k)
4. Na ni vitu gani vya kuzingatia ukiingia kwenye chumba cha usaili wa kufanya mtihani (yaani umepewa karatasi nini unaanza kuandika juu kati ya majina na namba yako ya usaili)
5. Kwa walio wazoefu kwenye msaidizi wa hesabu II naomba kujua maswali yanakuaje
NB. Nimeuliza maswali mengi kwa sababu sijawahi fanya interview yoyote na ndo mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal, na nimeuliza haya maswali ili ikitokea nmeitwa kwenye usaili nijue naenda na nini ili nisije saga nauli bure na nisipo itwa nasubilia nafasi nyingine huko mbele TAFADHARI ndugu zangu naomba msaada wenu kama hamtojali kwa sababu naamini kuna wazoefu humu 🙏🙏 naomba kuwasilisha