Rafiki yangu kutoka huko Asia ashangaa baada ya yeye kuondoka na kisha kurudi leo amekuta maendeleo makubwa nchini

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,704
5,480
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule Chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
Hivi lile banda pale airport unaweza kulishangaa?
 
Atapambana mwenyewe mkuu, ukiyachezea maisha nayo yatakuchezea, wacha apate funzo.
Madaraja watu ndo wanaita hatua mwaka 1973 mzee wangu yupo Cairo alikuta haya mambo tayari yapo yameshajengwa muda tu
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule Chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
Hata waliozamia kwa madiba wamerudi na kushangaa maendeleo makubwa yaliyofanywa chini ya awamu ya JPM
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule Chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
Tatizo linaanza pale unapofikiri maendeleo ni majengo.
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.
Ni jambo la kutafakari. Hivi maendeleo maana yake nini, flyovers na airports? Alikuuliza kuhusu ongezeka la idadi ya watu wanaopata maji safi na salama, vifo vya wajawazito wanapojifungua, idadi ya watoto wanaokufa kabla ya miaka mitano, kupungua kwa idadi ya vijana wasio na kazi, ongezeko la familia zenye kula angalau milo miwili kwa siku, ubora wa huduma za afya na elimu, huduma za uhakika za umeme majumbani na viwandani, kuboreshwa kwa maisha ya mkulima na mfanya kazi, kukua kwa demokrasia na utawala wa sheria, nk?
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule Chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
Mueleweshe kwamba Sasa tuna Star wa Hollywood soon ataachia Kijiji cha milele.
 
Huyu rafiki yangu Engineer kwenye kampuni tuliyokuwa tunafanya pamoja kazi hapa nchini.

Mwaka 2016 aliondoka kwenda kwako, sasa leo amerudi tena hapa nchini, baada ya kukutana nae katika stori mbili tatu, akaniambia watanzania naona sasa mmeamua, naona nchi yenu inakuwa sasa.

Kuna mabadiliko makubwa sana, airport imefanyiwa maboresho makubwa, naona flyovers.

Nikatabasam kisha nikamuambia, kuna mwamba mmoja amelala kule Chato anaitwa John Joseph Magufuli, haya yote unayoyaona yeye ndiyo kayasimamia na kuyatekeleza, hatunaye tena.

Akaniambia kumbe hii nchi inaweza kupiga hatua haraka sana ila tatizo ni viongozi? Nikamuambia pigia jibu mstari.

Rip Magufuli watu wanastaajabu Tanzania uliyoiacha, hakika mazuri yako yataishi milele.
Ningeona tuna maendelo makubwa kama ile barabara ya kutoka Mahenge hadi Songea ingejengwa kwa kiwango cha lami. Kujenga flaiova Dar pekee etc ndo uite maendeleo ya kinchi? hayo ni maendeleo ya mkoa mmoja
 
Ni jambo la kutafakari. Hivi maendeleo maana yake nini, flyovers na airports? Alikuuliza kuhusu ongezeka la idadi ya watu wanaopata maji safi na salama, vifo vya wajawazito wanapojifungua, idadi ya watoto wanaokufa kabla ya miaka mitano, kupungua kwa idadi ya vijana wasio na kazi, ongezeko la familia zenye kula angalau milo miwili kwa siku, ubora wa huduma za afya na elimu, kuboreshwa kwa maisha ya mkulima na mfanya kazi, kukua kwa demokrasia na utawala wa sheria, nk?
😀😀 miundo mbinu ni moja ya maendeleo, hivi pale tazara kabla ya flyover palikuwaje?
 
Back
Top Bottom