Nina mpango wa kukopa benki milioni 17, biashara gani inanifaa?

MWANAHARAKATI MWEMA

Senior Member
Dec 16, 2022
192
270
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri, kunikosoa, kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA, KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana.

Pili napenda kusema kutoka moyoni kwamba nimeamini na nina imani kuwa wafrika itatuchukua miaka mingi sana kuondokana na mifumo haramu na kandamizi na kwenda kwenye mifumo Halali ya kujipatia maendeleo ya kweli yenye kutumia uwezo wa akili zetu.

Kwanini nasema hivyo, katika maoni niliyoyapokea kutoka Kwa wanajamvi 70% ya maoni yanabeza kitu kinachoitwa haki na kutukuza ukandamizaji, nimeamini msemo usemao "uwezi kuwa mtenda mema mbele ya waovu", yaani mtu kutotumia nguvu kujipatia pesa inaonekana wewe ni wa ajabu hakika tuna safari ndefu.

Tatu Mimi bado nina imani na naamini wazungu hawakuendelea Kwa kutumia njia za shortcut, walitumia uwezo wao wa akili kufika walipo, tofauti yetu Sisi viongozi wetu wanapoiba pesa zetu serikalini tunalalamika na akitokea kiongozi anayepinga udhalimu anatafutiwa dawa auwawe au atolewe kwenye mifumo, Hali hii imelemaza watanzania Kwa kuamini ili ufanikiwe tumia nafasi uliyonayo kukandamiza Mimi nafsi imenisuta kuungana au kukubali ushauri wa kuamini katika kutenda uovu kujipatia pesa.

Mwisho na ndio msingi wa andiko hili ni kuhusu Mimi kusimama Kwa Miguu yangu Kwa kutumia Akili yangu, nguvu zangu na maalifa yangu yote kupata pesa Halali Bila kunywa pombe kama nilivyoshauriwa ili kupata connection,kukandamiza haki za wengine ili kupata pesa au dhulma Kwa wengine ili nivimbe mtaani, bali nataka kufanya Biashara itakayonifanya Akili yangu izunguke na kuwaza vitu vipya.

Nataka niwe mfanyabiashara nipo tayari kutumia waganga wa kienyeji kulinda Biashara yangu ili nipate mafanikio, sitaki kuendelea kuamini katika dhulma ambapo siku hukikosa mtu wa kumkwapulia pesa unaanza kuhaha kutafuta wa kumdhulumu.

Kwa Bahati mbaya sana nimewafuatilia wale wote wanaofanya Kazi za Namna hiyo hapo ofisini nimegundua pesa zao nyingi wanazopata zinaishia kwenye starehe za wanawake na pombe chache zinaenda kwenye maendeleo.

Hivyo nahitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.

Asanteni.
 
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri,kunikosoa,kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA,KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana.

Pili napenda kusema kutoka moyoni kwamba nimeamini na ninaimani kuwa wafrika itatuchukua miaka mingi sana kuondokana na mifumo haramu na kandamizi na kwenda kwenye mifumo Halali ya kujipatia maendeleo ya kweli yenye kutumia uwezo wa akili zetu.

Kwanini nasema hivyo, katika maoni niliyoyapokea kutoka Kwa wanajamvi 70% ya maoni yanabeza kitu kinachoitwa haki na kutukuza ukandamizaji, nimeamini msemo usemao "uwezi kuwa mtenda mema mbele ya waovu", yaani mtu kutotumia nguvu kujipatia pesa inaonekana wewe ni wa ajabu hakika tuna safari ndefu.

Tatu Mimi bado nina imani na naamini wazungu hawakuendelea Kwa kutumia njia za shortcut, walitumia uwezo wao wa akili kufika walipo, tofauti yetu Sisi viongozi wetu wanapoiba pesa zetu serikalini tunalalamika na akitokea kiongozi anayepinga udhalimu anatafutiwa dawa auwawe au atolewe kwenye mifumo, Hali hii imelemaza watanzania Kwa kuamini ili ufanikiwe tumia nafasi uliyonayo kukandamiza Mimi nafsi imenisuta kuungana au kukubali ushauri wa kuamini katika kutenda uovu kujipatia pesa.

Mwisho na ndio msingi wa andiko hili ni kuhusu Mimi kusimama Kwa Miguu yangu Kwa kutumia Akili yangu, nguvu zangu na maalifa yangu yote kupata pesa Halali Bila kunywa pombe kama nilivyoshauriwa ili kupata connection,kukandamiza haki za wengine ili kupata pesa au dhulma Kwa wengine ili nivimbe mtaani, bali nataka kufanya Biashara itakayonifanya Akili yangu izunguke na kuwaza vitu vipya.

Nataka niwe mfanyabiashara nipo tayari kutumia waganga wa kienyeji kulinda Biashara yangu ili nipate mafanikio, sitaki kuendelea kuamini katika dhulma ambapo siku hukikosa mtu wa kumkwapulia pesa unaanza kuhaha kutafuta wa kumdhulumu

Kwa Bahati mbaya sana nimewafuatilia wale wote wanaofanya Kazi za Namna hiyo hapo ofisini nimegundua pesa zao nyingi wanazopata zinaishia kwenye starehe za wanawake na pombe chache zinaenda kwenye maendeleo.

Hivyo naitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.

Asanteni.
Tahadhari ndugu..
Kwa nia njema kabisa....
Nakusihi...ukweli benki haipo kwa ajili ya kukusaidia.
Hatari zaidi ni unaenda kuanza??????
Bora angalau ungekuwa tayari kwenye uwanja wa mapambano.
 
Hivyo naitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.
Mkuu,
Mimi napenda sana biashara.
Wewe si bado upo kazini?
Nijibu ili nikushauri kitu.
 
Unabidi kuhakikisha unakuwa makini hasa upande Wa unachoingiza na unachotumia.

Biashara nzuri ni ile yenye returning ya haraka hasa ukiwa maeneo kama DSM unaweza kuwa middle broker kwa upande Wa nafaka. Taarifa nyingi na sahihi unaweza kuzipata kupitia madalali waliopo masokoni.

Pili, hakikisha unafata misingi yote ya PESA ikiwemo spiritual, earning more spending less, kuwa BAHILI Sana that is best way to generate money.
 
Ungekuwa haupo kazini ningekushauri utafute soko la uhakika la mbao kati ya dsm au dodoma halafu nenda iringa au njombe nunua mashine zako mbili amabzo hazizid mil.6 then iliyobakia nunua miti chana mbao. Hutajuta hata siku moja huu ushauri.

Usikubali hii biashra umpe mtu asimamie.
 
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri,kunikosoa,kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA,KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana.

Pili napenda kusema kutoka moyoni kwamba nimeamini na ninaimani kuwa wafrika itatuchukua miaka mingi sana kuondokana na mifumo haramu na kandamizi na kwenda kwenye mifumo Halali ya kujipatia maendeleo ya kweli yenye kutumia uwezo wa akili zetu.

Kwanini nasema hivyo, katika maoni niliyoyapokea kutoka Kwa wanajamvi 70% ya maoni yanabeza kitu kinachoitwa haki na kutukuza ukandamizaji, nimeamini msemo usemao "uwezi kuwa mtenda mema mbele ya waovu", yaani mtu kutotumia nguvu kujipatia pesa inaonekana wewe ni wa ajabu hakika tuna safari ndefu.

Tatu Mimi bado nina imani na naamini wazungu hawakuendelea Kwa kutumia njia za shortcut, walitumia uwezo wao wa akili kufika walipo, tofauti yetu Sisi viongozi wetu wanapoiba pesa zetu serikalini tunalalamika na akitokea kiongozi anayepinga udhalimu anatafutiwa dawa auwawe au atolewe kwenye mifumo, Hali hii imelemaza watanzania Kwa kuamini ili ufanikiwe tumia nafasi uliyonayo kukandamiza Mimi nafsi imenisuta kuungana au kukubali ushauri wa kuamini katika kutenda uovu kujipatia pesa.

Mwisho na ndio msingi wa andiko hili ni kuhusu Mimi kusimama Kwa Miguu yangu Kwa kutumia Akili yangu, nguvu zangu na maalifa yangu yote kupata pesa Halali Bila kunywa pombe kama nilivyoshauriwa ili kupata connection,kukandamiza haki za wengine ili kupata pesa au dhulma Kwa wengine ili nivimbe mtaani, bali nataka kufanya Biashara itakayonifanya Akili yangu izunguke na kuwaza vitu vipya.

Nataka niwe mfanyabiashara nipo tayari kutumia waganga wa kienyeji kulinda Biashara yangu ili nipate mafanikio, sitaki kuendelea kuamini katika dhulma ambapo siku hukikosa mtu wa kumkwapulia pesa unaanza kuhaha kutafuta wa kumdhulumu

Kwa Bahati mbaya sana nimewafuatilia wale wote wanaofanya Kazi za Namna hiyo hapo ofisini nimegundua pesa zao nyingi wanazopata zinaishia kwenye starehe za wanawake na pombe chache zinaenda kwenye maendeleo.

Hivyo naitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.

Asanteni.
Kwa kuwa wewe ni mwajiriwa inabidi upate biashara ambayo haiihitaji usimamizi wa muda mrefu kwa maana ya wewe kulazimika kuwepo muda wote sasa inabidi ufanye utafiti hapo unapoishi au maeneo ya kazini kwako biashara gani itakulipa. Cha msingi angalia demand kama ipo then ndo wewe usupply bidhaa au huduma.

Kinachonipa shaka ni kuwa unachukua mkopo ili kuanzisha biashara mpya. Kibongobongo waliochukua mikopo kuanzisha biashara mpya na ambayo hawakua na hata mawazo nayo mara nyingi waliishia kufeli. Mkopo mara nyingi ni kwa ajili ya kuendeleza biashara ambayo tayari ina soko kubwa ila mtaji hautoshi so ndo mtu anakopa maana at least ana uhakika wa mzunguko wa kuingiza hela.

Sasa kwa kuwa umeamua kujitosa no matter what basi zingatia ushauri wangu wa aya ya 1
 
Kwa kuwa wewe ni mwajiriwa inabidi upate biashara ambayo haiihitaji usimamizi wa muda mrefu kwa maana ya wewe kulazimika kuwepo muda wote sasa inabidi ufanye utafiti hapo unapoishi au maeneo ya kazini kwako biashara gani itakulipa. Cha msingi angalia demand kama ipo then ndo wewe usupply bidhaa au huduma.

Kinachonipa shaka ni kuwa unachukua mkopo ili kuanzisha biashara mpya. Kibongobongo waliochukua mikopo kuanzisha biashara mpya na ambayo hawakua na hata mawazo nayo mara nyingi waliishia kufeli. Mkopo mara nyingi ni kwa ajili ya kuendeleza biashara ambayo tayari ina soko kubwa ila mtaji hautoshi so ndo mtu anakopa maana at least ana uhakika wa mzunguko wa kuingiza hela.

Sasa kwa kuwa umeamua kujitosa no matter what basi zingatia ushauri wangu wa aya ya 1
Nahitaji Biashara yenye mzunguko, sitaki ya kuweka pesa nisubiri baada ya miezi kadhaa.
 
Kama huna damu ya kupenda kufanya biashara! Na badala yake unataka kufanya biashara kwa lengo la kuonekana tu na wewe umekopa hela benki na kufanya biashara; basi jiandae tu kushindwa mapema sana.

Unachotakiwa ni kutambua ni kitu gani kingine cha kukuingizia kipato unakimudu, nje ya hiyo kazi unayofanya! Kilimo, biashara, ufugaji, nk.
 
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri,kunikosoa,kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA,KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana.

Pili napenda kusema kutoka moyoni kwamba nimeamini na ninaimani kuwa wafrika itatuchukua miaka mingi sana kuondokana na mifumo haramu na kandamizi na kwenda kwenye mifumo Halali ya kujipatia maendeleo ya kweli yenye kutumia uwezo wa akili zetu.

Kwanini nasema hivyo, katika maoni niliyoyapokea kutoka Kwa wanajamvi 70% ya maoni yanabeza kitu kinachoitwa haki na kutukuza ukandamizaji, nimeamini msemo usemao "uwezi kuwa mtenda mema mbele ya waovu", yaani mtu kutotumia nguvu kujipatia pesa inaonekana wewe ni wa ajabu hakika tuna safari ndefu.

Tatu Mimi bado nina imani na naamini wazungu hawakuendelea Kwa kutumia njia za shortcut, walitumia uwezo wao wa akili kufika walipo, tofauti yetu Sisi viongozi wetu wanapoiba pesa zetu serikalini tunalalamika na akitokea kiongozi anayepinga udhalimu anatafutiwa dawa auwawe au atolewe kwenye mifumo, Hali hii imelemaza watanzania Kwa kuamini ili ufanikiwe tumia nafasi uliyonayo kukandamiza Mimi nafsi imenisuta kuungana au kukubali ushauri wa kuamini katika kutenda uovu kujipatia pesa.

Mwisho na ndio msingi wa andiko hili ni kuhusu Mimi kusimama Kwa Miguu yangu Kwa kutumia Akili yangu, nguvu zangu na maalifa yangu yote kupata pesa Halali Bila kunywa pombe kama nilivyoshauriwa ili kupata connection,kukandamiza haki za wengine ili kupata pesa au dhulma Kwa wengine ili nivimbe mtaani, bali nataka kufanya Biashara itakayonifanya Akili yangu izunguke na kuwaza vitu vipya.

Nataka niwe mfanyabiashara nipo tayari kutumia waganga wa kienyeji kulinda Biashara yangu ili nipate mafanikio, sitaki kuendelea kuamini katika dhulma ambapo siku hukikosa mtu wa kumkwapulia pesa unaanza kuhaha kutafuta wa kumdhulumu

Kwa Bahati mbaya sana nimewafuatilia wale wote wanaofanya Kazi za Namna hiyo hapo ofisini nimegundua pesa zao nyingi wanazopata zinaishia kwenye starehe za wanawake na pombe chache zinaenda kwenye maendeleo.

Hivyo naitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.

Asanteni.
Hizi nin uzi mbili Acha nikushaur pale nawez kushaur

1:-Biashara gan ufanye hutegemea MAZINGIRA yako (ambayo wajumbe hatuyajui na hujaelez ata kwa uchache)

2:- kwann uanze biashara na pesa ya mkopo (kama ujawah ifanya hyo biashara kbsa , nazn huijui ndio maan unaomba ushaur anza na kpato cha kawaida kama huna kbsa anza ata na kukopa 2million cheza nayo mwaka mmoja ukiona uelekeo nenda ka up

3:- Biashara common ninazowez kukushauri , ununuz wa mazao na uuzaji(eneo uliokuwepo ikib safr na mikoa mingne au tumia watu wakununulia hasa mazao ya biashara kuw makn na watu utao watumia)

4:- mobiles money

5:- biashara ya kukopesha (Nyonyadamu)

6:- derivery business

7:- investment in cryptocurrency (kuw makn mateli ni wengi huko online)

All the Best
 
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri,kunikosoa,kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA,KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana.

Pili napenda kusema kutoka moyoni kwamba nimeamini na ninaimani kuwa wafrika itatuchukua miaka mingi sana kuondokana na mifumo haramu na kandamizi na kwenda kwenye mifumo Halali ya kujipatia maendeleo ya kweli yenye kutumia uwezo wa akili zetu.

Kwanini nasema hivyo, katika maoni niliyoyapokea kutoka Kwa wanajamvi 70% ya maoni yanabeza kitu kinachoitwa haki na kutukuza ukandamizaji, nimeamini msemo usemao "uwezi kuwa mtenda mema mbele ya waovu", yaani mtu kutotumia nguvu kujipatia pesa inaonekana wewe ni wa ajabu hakika tuna safari ndefu.

Tatu Mimi bado nina imani na naamini wazungu hawakuendelea Kwa kutumia njia za shortcut, walitumia uwezo wao wa akili kufika walipo, tofauti yetu Sisi viongozi wetu wanapoiba pesa zetu serikalini tunalalamika na akitokea kiongozi anayepinga udhalimu anatafutiwa dawa auwawe au atolewe kwenye mifumo, Hali hii imelemaza watanzania Kwa kuamini ili ufanikiwe tumia nafasi uliyonayo kukandamiza Mimi nafsi imenisuta kuungana au kukubali ushauri wa kuamini katika kutenda uovu kujipatia pesa.

Mwisho na ndio msingi wa andiko hili ni kuhusu Mimi kusimama Kwa Miguu yangu Kwa kutumia Akili yangu, nguvu zangu na maalifa yangu yote kupata pesa Halali Bila kunywa pombe kama nilivyoshauriwa ili kupata connection,kukandamiza haki za wengine ili kupata pesa au dhulma Kwa wengine ili nivimbe mtaani, bali nataka kufanya Biashara itakayonifanya Akili yangu izunguke na kuwaza vitu vipya.

Nataka niwe mfanyabiashara nipo tayari kutumia waganga wa kienyeji kulinda Biashara yangu ili nipate mafanikio, sitaki kuendelea kuamini katika dhulma ambapo siku hukikosa mtu wa kumkwapulia pesa unaanza kuhaha kutafuta wa kumdhulumu

Kwa Bahati mbaya sana nimewafuatilia wale wote wanaofanya Kazi za Namna hiyo hapo ofisini nimegundua pesa zao nyingi wanazopata zinaishia kwenye starehe za wanawake na pombe chache zinaenda kwenye maendeleo.

Hivyo naitimisha Kwa kuwaomba wanajamvi mnishauri Biashara gani mzuri ya kufanya Kwa mtaji 17 milioni, Biashara ambayo inaendana na kazi yangu ambayo itanipatia kipato cha uhakika na nitafurahia maisha Bila rushwa, nachukia dhulma,unyonyaji na ulevi Kwa kigezo kupata maendeleo.

Asanteni.
Nimejiuliza kitu hapo, nini kimekufanya ukope 17M na sio pungufu au zaidi ya hapo? Mbona kama ulikuwa na lengo la kuikopea hiyo 17? Ila kama hakuna niseme tu safari ya kujikwamua kiuchumi kiongozi ni safari ndefu saana.

Pia sio kila njia alyetumia fulani kufanikiwa ukitumia ww lazima ikupe mafanikio hapana haiko ivo, pia wanaosema pesa ili idumu au uwenayo ni lazima uwe mzandiki wa dhulma, rushwa na wizi sio kweli isipokuwa ufuate tu nidham na kanuni za pesa.

Fursa za biashara zinategemea na mambo mengi saana na wakati mwingine yanategemeana, ili mtu akushauri aina ya biashar ya kufanya kuna mengi saana inabidi ayajue kutoka kwako jambo ambalo halwezekan au litachkua mda mrefu, lakini pia mwingine atakushauri kulingana na njia zake alizopitia yy mpaka kufanikiwa jambo ambalo sidhani kama linaweza kufanyakaz kwako.

Mimi nikushauri kitu ili uwe mfanyabiashara ni lazima uwe mtafiti mzuri saana wa fursa na namna gani unaweza kubadili hizo fursa kuwa soko lako la bidhaa au huduma.

Naamin 80% ya biashara zinazofanyika hapa kwetu unazijua hakuna biashara mpya watu wanakuwa wabunifu tu kwenye biashara zilizopo kwa kuongeza thaman au kubadilisha namna ya ufanyaji

Angalia fursa sehem mbalimbali ambazo utakuwa comfortable kufanyia biashara then ukipata kweny utafiti wako ndo unaweza kuuliza wazoefu ili wakupe ABC ili kupata mwanga wanamn yakuzifanya.

Pia usiende kuchukua hiyo ela bank kabla hujapata exactly biashara yakufany ambay utakuwa umeifanyia utafiti wakutosha.

Katika biashara maamuzi magumu kabisa ni yale yakuamua ufanye biashara gani, epuka kuiga biashara ya mtu, usifanye kwa kuwa fulani anafanya.
 
Nimejiuliza kitu hapo, nini kimekufanya ukope 17M na sio pungufu au zaidi ya hapo? mbona kama ulikuwa na lengo la kuikopea hiyo 17? ila kama hakuna niseme tu safari ya kujikwamua kiuchumi kiongozi ni safari ndefu saana.

pia sio kila njia alyetumia fulani kufanikiwa ukitumia ww lazima ikupe mafanikio hapana haiko ivo, pia wanaosema pesa ili idumu au uwenayo ni lazima uwe mzandiki wa dhulma, rushwa na wizi sio kweli isipokuwa ufuate tu nidham na kanuni za pesa.

fursa za biashara zinategemea na mambo mengi saana na wakati mwingine yanategemeana, ili mtu akushauri aina ya biashar ya kufanya kuna mengi saana inabidi ayajue kutoka kwako jambo ambalo halwezekan au litachkua mda mrefu, lakini pia mwingine atakushauri kulingana na njia zake alizopitia yy mpaka kufanikiwa jambo ambalo sidhani kama linaweza kufanyakaz kwako.

mimi nikushauri kitu ili uwe mfanyabiashara ni lazima uwe mtafiti mzuri saana wa fursa na namna gani unaweza kubadili hizo fursa kuwa soko lako la bidhaa au huduma.

naamin 80% ya biashara zinazofanyika hapa kwetu unazijua hakuna biashara mpya watu wanakuwa wabunifu tu kwenye biashara zilizopo kwa kuongeza thaman au kubadilisha namna ya ufanyaji

angalia fursa sehem mbalimbali ambazo utakuwa comfortable kufanyia biashara then ukipata kweny utafiti wako ndo unaweza kuuliza wazoefu ili wakupe ABC ili kupata mwanga wanamn yakuzifanya.

pia usiende kuchukua hiyo ela bank kabla hujapata exactly biashara yakufany ambay utakuwa umeifanyia utafiti wakutosha.

katika biashara maamuzi magumu kabisa ni yale yakuamua ufanye biashara gani, epuka kuiga biashara ya mtu, usifanye kwa kuwa fulani anafanya.
Mimi binafsi japo sikuwahi kuwa na Biashara Ila naamini kwamba, mfanyakazi akiwa na Biashara anaondokana na utumwa wa kuulizia tarehe ya mshahara au mikopo Ile ya nipe kadi yako, Mimi napenda sana uhuru wa mawazo binafsi Mimi nikiwa na Jambo langu uwa najituma sana Ila mifumo ya Kazi yangu ni kikwazo kikubwa, kuamishwa mara Kwa mara imekuwa Ni kitu sikipendi Ila ndio hivyo nitafanyaje.
 
Back
Top Bottom