matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,369
Moja kwa moja kwenye mada...
Ukosoaji wa Lissu kwa Muda mfupi JPM kautekeleza na nchi imeenda.
Nchi nzima inajua licha ya mapungufu ya JPM ni Mtendaji hakuna aliyewahi kumfikia. Ila akiamua jambo wakati mwingine hata Sheria zinawekwa kando kwa maslahi mapana ya taifa. Lissu mjanja wa Sheria anaweza kusaidia kuruka viunzi tukaenda sawa na mabeberu bila kutupiga faini.
Lissu watu wengi wanaamini ni upinzani 100% Hivyo atavuta imani ya watu wengi kwa serikali yao.
Tanzania tunamtaka Mh Magufuli na Bado tunmtaka Lissu. Wote hawana shida kufanya KAZI kwa pamoja. Lissu amewahi kufanya KAZI na wanaCCM vificho kama Lowassa. JPM naye anafanya KAZI na Wapinzani vificho kama wakina Silinde, Mtatilo, Kafulila,slaa, (hawa siamini kama wanaweza kuwa CCM zaidi ya kutafuta fursa)
Linawezekana .
Mliangalie hilo wakuu wangu
Ukosoaji wa Lissu kwa Muda mfupi JPM kautekeleza na nchi imeenda.
Nchi nzima inajua licha ya mapungufu ya JPM ni Mtendaji hakuna aliyewahi kumfikia. Ila akiamua jambo wakati mwingine hata Sheria zinawekwa kando kwa maslahi mapana ya taifa. Lissu mjanja wa Sheria anaweza kusaidia kuruka viunzi tukaenda sawa na mabeberu bila kutupiga faini.
Lissu watu wengi wanaamini ni upinzani 100% Hivyo atavuta imani ya watu wengi kwa serikali yao.
Tanzania tunamtaka Mh Magufuli na Bado tunmtaka Lissu. Wote hawana shida kufanya KAZI kwa pamoja. Lissu amewahi kufanya KAZI na wanaCCM vificho kama Lowassa. JPM naye anafanya KAZI na Wapinzani vificho kama wakina Silinde, Mtatilo, Kafulila,slaa, (hawa siamini kama wanaweza kuwa CCM zaidi ya kutafuta fursa)
Linawezekana .
Mliangalie hilo wakuu wangu