Wanajamiiforums, fikisheni salamu hizi kwa kila Mtanzania mpiga kura bila ya kujali itikadi ya chama chake kwani kama ni CCM huenda akaiona haki na yeye akatamani kutenda haki. Haki ambayo inahubiriwa na Tundu Lissu ,ya kuwa Mashehe wote wakiislamu walioko magerezani bila ya hatia yeyote anahakikisha anawaachia huru, mara moja.
Ni neema ilioje kwa ambae si Muislamu kutoa kauli hiyo hadharani jambo ambalo Mashehe kanzu na vilemba wa BAKWATA wameshindwa hata angalau kuwataja, Kwa Muislamu na mpenda amani bora Lisu kuliko hawa mashehe ubwabwa wa Bakwata wanatutia aibu waislamu.
Kura za Ndio kwa Mtakatifu Tundu Lissu.
Wajulishe na waTanzania wapenda amani ujumbe huu kupitia JF unawafikia na kuamshana CCM itakakoelekea inanjinjiwa huko huko mara hii haelekei mtu kibla... kichinjio changu nimekificha ila kila siku nakitazama kama kipo, maana Chakubanga na Abushiri ni wachawi.
Ni neema ilioje kwa ambae si Muislamu kutoa kauli hiyo hadharani jambo ambalo Mashehe kanzu na vilemba wa BAKWATA wameshindwa hata angalau kuwataja, Kwa Muislamu na mpenda amani bora Lisu kuliko hawa mashehe ubwabwa wa Bakwata wanatutia aibu waislamu.
Kura za Ndio kwa Mtakatifu Tundu Lissu.
Wajulishe na waTanzania wapenda amani ujumbe huu kupitia JF unawafikia na kuamshana CCM itakakoelekea inanjinjiwa huko huko mara hii haelekei mtu kibla... kichinjio changu nimekificha ila kila siku nakitazama kama kipo, maana Chakubanga na Abushiri ni wachawi.