Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz a.k.a baba lao wakati akiwa insta live akiwasiliana na mashabiki wake wa nchi tofauti tofauti ikiwemo kujibu maswali ya mashabiki wake akaamua kutoa kionjo Cha Baadhi ya mashairi ya moja ya wimbo wake ambao upo kwenye stoo ya nyimbo zake.
Kama ajatoa hiko kionjo akasema hii ngoma ni maalumu kwa Tanzania na East Africa sio ya international ni wimbo ambao ni una mashairi Sana ni wimbo wa taratibu alafu unaweza kusikiliza kwa muda mrefu bila kuuchoka kutokana na ufundi nilioutumia kuandika, Melody nzuri pamoja na production iliyotumika.Baadhi ya mashairi ya hiyo kionjo ni Kama ifuatavyo
"Si ugoko si kandambili,yaani vyote havikupendezi"
"Mwana ngoko usionawili,yaani tope usionautelezi"
"Utaishia kututabili,tubomoke inapita miezi"
"Ona umekosa nuru bahati huna,unaitwa kunguru ukifika wananuna
"Ndondondo mwanachururu asiyekuchuna,mengine nisikufuru"
Kama ajatoa hiko kionjo akasema hii ngoma ni maalumu kwa Tanzania na East Africa sio ya international ni wimbo ambao ni una mashairi Sana ni wimbo wa taratibu alafu unaweza kusikiliza kwa muda mrefu bila kuuchoka kutokana na ufundi nilioutumia kuandika, Melody nzuri pamoja na production iliyotumika.Baadhi ya mashairi ya hiyo kionjo ni Kama ifuatavyo
"Si ugoko si kandambili,yaani vyote havikupendezi"
"Mwana ngoko usionawili,yaani tope usionautelezi"
"Utaishia kututabili,tubomoke inapita miezi"
"Ona umekosa nuru bahati huna,unaitwa kunguru ukifika wananuna
"Ndondondo mwanachururu asiyekuchuna,mengine nisikufuru"