johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,886
- 141,819
Karibuni.
UPDATES:
Spika anawakaribisha wabunge na kuwapa salamu za Rais Magufuli na kwamba wasishangae endapo mh Rais atawatembelea hapo bungeni wakati wowote kabla ya 30/6/2020.
Kadhalika Spika amesema Waziri mkuu yuko Dar akiratibu shughuli za kudhibiti Corona ila kesho atakuwepo Bungeni.
UPDATES:
Spika anawakaribisha wabunge na kuwapa salamu za Rais Magufuli na kwamba wasishangae endapo mh Rais atawatembelea hapo bungeni wakati wowote kabla ya 30/6/2020.
Kadhalika Spika amesema Waziri mkuu yuko Dar akiratibu shughuli za kudhibiti Corona ila kesho atakuwepo Bungeni.