Mashabiki wake hawampi tena moyo
Mimi hata Diamond akitoka humo wcb nae nitamshusha tuu
1.Anatafuta huruma,
2.kuongelewa
Sawasawa mkuu nimeiona. kuna cha ziada?Koment namba12 inakuhs mkuu..
Siyo Harmonize tu Ni Wasanii wote waliopo chini ya Label ya Wcb hawana Mashabiki, hata wewe siyo shabiki wa RayvanyHarmonize ametumia technic nzuri ili kupunguza chuki za team WCB wanaomuandama na ukizingatia Harmonize Hana mashabiki wengi na amefanya hivyo ili kuongeza mashabiki wa WCB wampende.
Wewe si ulileta habari ya rayvanny kuondoka WCB vip kulikoni?Siyo Harmonize tu Ni Wasanii wote waliopo chini ya Label ya Wcb hawana Mashabiki, hata wewe siyo shabiki wa Rayvany
sawa pasterWacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.
Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??
Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.