watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Hawa watoto wametufungaje kwa mfano?

    Kocha OGS alikuwa na sabb gani kumtoa Will, Ole ameniudhi sana. Katimu kakuongezea kujaza point unakaacha kana tupigaje ?? Sasa!! Kwa nn ole amekaa tu anaangalia uwanjani, ina maana haoni failure akaswirtch game kubadili mfumo, move nk Si Bora angeenda kulala tu.?!!
  2. Wazazi 17,000 kuanza kusakwa watoto kukacha kidato cha kwanza

    Serikali ya Mkoa wa Mtwara imesema itaanza kuwasaka wazazi ambao watoto wao wameshindwa kuripoti shuleni kuanza kidato cha kwanza mwaka huu. Wanafunzi hao wa kidato cha kwanza wameshindwa kuripoti shuleni, huku idadi ya waliofaulu ni zaidi ya 20,000, hivyo serikali kuagiza wazazi wote waliogoma...
  3. Embu tujuzane mafanikio yakoje au muitikio ukoje wa utelekezaji wa rai ya kufyatua watoto?

    Habari wana JF Mwenye Enzi Mungu aliagize nendeni mkaijaze dunia. Muheshimiwa Raisi Dr. John Pombe Joseph Magufuli naye alitoa rai kwa wananchi wa Tanzania wafyatue watoto. Huu ni mwaka mpya, mimi tayari nimefyatua kamoja mwaka jana na nina mpango wa kufyatua kingine mwaka huu, sasa sijui wewe...
  4. Changamoto zinazo walazimisha watoto kuacha masomo Sudan

    Utafiti uliofanywa na wizara na Unicef Utafiti uliofanywa na Wizara ya Elimu kwa ushirikiano na UNICEF umebaini kuwa zaidi ya watoto milioni 3 hawahudhurii masomo nchini Sudan Watoto wa Sudan huondoka nyumbani kutafuta ajira kila siku badala ya kuhudhuria masomo, kutokana na umasikini...
  5. Hivi Watoto na Wajukuu wa Marais wastaafu tunawahudumia pia?

    Nafahamu kwamba tunawahudumia kama nchi familia ya Rais aliyeko madarakani kwa maana ya malazi, chakula, usafiri, ulinzi, Elimu mpaka harusi na mazishi. Sasa je, hiyo huduma huwa inakoma wanapomaliza Urais au inaendelea? Na je kama inaendelea ni wapi mwisho? Nafahamu kama Raisi mstaafu...
  6. Vifo vya wajawazito, watoto vyapungua Njombe. Dk. Ndugulile atoa pongezi

    Mkoa wa Njombe umepongezwa kwa kupunguza vifo vya kinamama kutoka 250 kwa vizazi hai laki moja mwaka 2005 hadi vifo 94.8 huku vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano vikitoka 51 hadi vifo viwili kwa kila vizazi hai 1,000 Desemba 2019. Pongezi hizo zilitolewa jana na Naibu Waziri wa Afya...
  7. Je, mtoto anaweza kulelewa kwa mafanikio ikiwa sheria za malezi za wazazi/walezi wake zitakuwa tofautitofauti?

    Je, mtoto anaweza kulelewa kwa mafanikio ikiwa sheria za malezi za wazazi/walezi wake zitakuwa tofautitofauti? Yaani Baba ana kanuni na taratibu hii, Mama ana kanuni na taratibu hii. Yapi maoni yako?
  8. S

    Shule nzuri kwa watoto kuanzia miaka mitatu

    Kuna post nyingi kuhusu kutafuta shule ninaamini ni jambo muhimu kwa kila mzazi. Ningependa uzi huu ndio uwe kimbilio la wengi kama unafahamu shule yoyote nzuri mkoa wowote mwaga sera zake hapa ada zake, mgawanyiko wa ulipaji. Mimi ningependa kufahamu shule nzuri kwa watoto kuanzia miaka...
  9. Watoto wa mitaani hawatendewi haki

    Watoto wa mitaani hawatendewi haki, walipaswa kuwa shule ila wanaachwa kuzagaa hovyo bila muelekeo. Watoto hawa wanapaswa kuwa chini ya uangalizi, RC yupo, ustawi wa jamii wapo, wanakula mishahara na kupishana chooni tu. Tunataka maelezo, mnakwama wapi? Napaza sauti kwa niaba ya watoto hawa...
  10. Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda. Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako. bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba. Huyo mtoto anahesabiwa...
  11. Iringa: Matukio takribani 404 ya ukatili wa kingono kwa watoto yaripotiwa katika kipindi cha Januari mpaka Novemba mwaka 2019

    Mkoa wa Iringa kwa kipindi cha Januari mpaka Novemba 2019 umekuwa na matukio takribani 404 ya vitendo ya ukatili wa kingono kwa watoto ikiwa ni tatizo kubwa linalowakabili watoto katika malezi na makuzi yao nchini. Hayo yamebainika mkoani Iringa wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afya, Mendeleo...
  12. Elimu bure, watoto wa wanyonge wakataliwa kuandikishwa shule huko Makambako.

    Kengele imepigwa, muhula umeanza vituko vya zima moto kwenye elimu za watoto wa wanaoitwa masikini navyo vimeanza. ni viroja alimuradi kura zipatikane hata kwa kukwiba hapo 2020. kuna ambao wamechaguliwa kujiunga na masomo ya sekondary lakini hawajulikani walipo, sijui taarifa za...
  13. Idadi ya watoto wanaozaliwa kwenye kambi za wakimbizi yahatarisha usalama wa nchi

    ZAIDI ya watoto 600 wanazaliwa kila mwezi kwenye makambi ya wakimbizi wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) yaliyopo mkoani Kigoma. Hali hiyo imetia hofu wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoa Kigoma, ambao wameeleza kutishwa na kasi kubwa ya kuzaliana kwa wakimbizi hao. Hivyo...
  14. Nimevunja uchumba sababu ya Majina ya Watoto na gharama za harusi

    Nimendika baada ya kuona post kama hii ila ina utofauti kidogo. Kwa upande wangu hii ilinitokea Mwakajana ambapo kuna dem nilimuweka target nikasema huyu anaweza kuwa mke kwa mvuo wake, maana binafsi ninajali sana hisia zangu na ninajua mizigo inayo niwehusha. Basi huyu alikua anakaba engo...
  15. Viongozi wa vyama vya siasa, Serikali na Bunge acheni unafiki shule zote za Serikali ziwe English medium watoto wenu mbona wanasoma English Medium?

    Kuna maana gani viongozi wa Serikali, bunge na vyama vya siasa kusomesha watoto wao English medium schools halafu wanaacha watoto wa wengine wasome Swahili medium? Huu ni unafiki mkubwa. Badilisheni shule zote za Serikali ziwe English medium. Wanafiki wakubwa nyie msio na haya Hizi ndizo...
  16. Hivi bado hatuoni haja ya kuwafundisha Watoto wetu elimu ya uzazi/viungo vyao vya uzazi tangu utotoni?

    Ni muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza hili swali, haswa ninapokuwa na kijana Wangu mdogo wa kiume mwenye umri wa miaka kumi. Kuna wakati tupo sebuleni tunasikiliza Redio au TV, na habari inayosikika ni kuhusu Mtoto aliyelawitiwa, Binti aliyepewa mimba, Mwanamke aliyebakwa n.k. Hapa huwa...
  17. J

    Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

    Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa. Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua...
  18. Makonda atoa bima ya afya kwa watoto 625

    MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amegawa kadi za bima ya afya za Mfuko wa Jamii (CHF) kwa watoto yatima na waishio kwenye mazingira magumu 625. Akizungumza wakati wa kutoa bima hizo, Makonda alisema anatoa zawadi ya sikukuu za Christmas, mwaka mpya na Maulid baada ya kubaini...
  19. Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

    Mama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa, kwani hata njaa itamuua. Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini? Hawajui njaa kabisa. Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa. ===== Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo Kikuu...
  20. Apple, Google, Tesla na Microsoft zafunguliwa kesi kwa kuwatumikisha watoto katika migodi kinyume cha sheria

    Apple, Google, Tesla na Microsoft ni baadhi ya makampuni yaliyotajwa katika kesi ya madai ya fidia ya vifo na majeraha ya wachimbaji watoto wa migodi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC. Kesi hii ilifunguliwa na mawakili wa kimataifa wa haki za binadamu kwa niaba ya familia 14 DRC...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…