watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. Kwanini watanzania hasa waliosomea Lugha wanashindwa kuchangamkia fursa za kazi za ualimu wa Kiswahili, Kiingereza na utafsiri wa lugha nchini Japan

    wakuu bado lock-down inaendelea japo kuna mwanga unaanza kuonekana baada ya hotuba ya leo ya waziri wa uchumi wa hapa switzerland bwana Guy Parmelin kuonesha matumaini ya kulegezwa kwa masharti katika phase ijayo ya kupambana na huu ugonjwa. Turudi kwenye tafakuri ya leo kama heading...
  2. ATCL Kwenda India ni ukatili kwa Watanzania

    Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kutumia ndege yake ya Boeing 787 Dreamliner inataraji kwenda nchini India kuwachukua watanzania 255 waliokuwa wagonjwa wakipatiwa matibabu nchini humo. Suala hili ukiliangalia juu juu unaweza kusema ni upendo wa Serikali ya Tanzania kwa wananchi wake kwa...
  3. Somo Kwa Watanzania Ukijitia Hauko Upande Wowote Kwenye Dhuluma Juwa Uko Upande Wa Ukandamizaji

    Kamaliza baba askofu Desmind Tutu
  4. Kama waTanzania wasingekuwa na unafiki, nadhani hii dance group ingeitwa kuja kushiriki maziko hapa nchini

    Maana unabaki kushangaa jinsi Tanzia zinavyoletwa jukwaani kwa bashasha , nderemo na vifijo fijo kila aina, inashangaza sana. Tena kuna baadhi wamefanya kama mashindano ya kutafuta sifa kwamba nani kaleta Tanzia wa kwanza na kwa wingi. Ona video
  5. Watanzania waliokwama India kwa sababu ya Corona kurejeshwa nchini hivi karibuni

    Ubalozi wa Tanzania nchini India umeeleza kuwa unaendelea kuandaa utaratibu wa kuwarejesha nchini Watanzania waliokwama India. Katika taarifa yake, ubalozi huo umesema kuwa utahusika katika kuomba vibali vya ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kutua katika Jiji la Mumbai tarehe 11 Mei...
  6. Watanzania msaada wenu, nasumbuliwa na kifua

    Ndugu wana jamiiforum, naombeni msaada wenu, nasumbuliwa sana na kifua. Dalili ninazoziskia mpaka muda huu ni hizi hapa: 1. Kwanza nianze kusema sikohoi kabisa, nikimeza mate naskia mkwamo wa kitu kooni, ila nikimeza chakula naskia kawaida (kwenye kumeza chakula sisikii maumivu yeyote) 2...
  7. Nadiriki kusema: 70% ya waTanzania tumeshaugua na kupona Corona zaidi ya mara tatu au zaidi bila kujua, nadharia ni hii

    Nimejaribu kukusanya ushahidi wa mdomo (word of mouth) toka kwa watu wengi sana kuhusu homa za mafua walizopata watu kipindi cha mwaka jana mwishoni na mwaka huu mwanzoni, ambapo hata mimi niliumwa, ukiangalia dalili walizopata na jinsi mafua yake yalivyokuja katika timing ile ile ya mlipuko wa...
  8. L

    Covid 19- watanzania tutakula kule tu tulipopeleka mboga

    Nimekuwa na kawaida ya kujisomea habari za covid19 kwenye mataifa mbalimbali ndani ya na nje ya Afrika. Nimeona jinsi viongozi mbalimbali wamefanya kazi bega kwa bega na wataalam wa afya kwenye kukabiliana na janga ili. Serikali za nchi mbalimbali ndani na nje ya Africa, zimejitahidi kununua...
  9. T

    Watanzania nawaomba tuache sifia Kila kinachotoka katika kinywa cha Rais tutaangamia wote

    Watanzania wenzangu it's high time tuache kusifia nakupongeza kila neno linalotoka ktk kinywa cha mfalme. Ni bora mara Mia tukae kimya tusitoe pongezi tukitaka kuonekana watu tunampenda sana mkuu. Nataka niwaambie. Kama tunafikiri mfalme yupo sawa muulizeni why kajitenga? Pili tafakurini wote...
  10. Watanzania tupo hatarini, tunaweza kupata corona kwa kula mapapai

    WHO mlisema mnatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu corona. Sisi Rais wetu mwenye PhD ni mtaalamu zaidi na kwa mapenzi aliyonayo kwetu sisi raia wake amepima baadhi ya vitu kama mbuzi na mapapai, na kugundua kuwa mbuzi na mapapai vyote Viña virusi vya corona. Kumbe Yale madumu ya maji tiririka na...
  11. Hoja ya kuficha idadi vifo tuzipuuze, tuiaminie Serikali yetu. Idadi ya 16 waliokufa kwa Corona ni idadi ya ukweli na halisi, ila...

    Wanabodi, Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona...
  12. Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

    Wanabodi, Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake. Je? Tatizo ni...
  13. Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

    Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona. Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni. Eti yote hayo...
  14. Watanzania: Udaku na Nadharia za Njama

    Naona kama kuna idadi kubwa sana ya watanzania wanaopenda vitu hivyo, yaani Udaku (habari za kuhusu mambo ya watu wengine) na Nadharia za Njama (kuwa kuna jambo la njama linafichwa na serikali au taasisi yoyote). Ukitaka kula hela ya watanzania, jikite katika biashara ya kuuza udaku na nadharia...
  15. Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

    Ndugu zangu kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu. Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na...
  16. Umebaki mwezi mmoja kwa CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani, wanavyopingana na Watanzania hata kata moja hawatapata

    Walianza kuwa watetezi wa wahalifu yaani majambazi, mafisadi, wala Rushwa na mabeberu. Wengine wakaenda mbali zaidi na kuwa wakawa watetezi wa wezi wa madini yetu. Yaani savimbiLissu akaungana na majambazi kuihujumu Tanzania Limetokea janga la Corona mheshimiwa anayejua uhalisia wa maisha ya...
  17. Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Wanabodi, Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness...
  18. Watanzania sasa wameanza kuelewa Serikali ya wanyonge ni serikali ya namna gani

    Watanzania wengi sasa wanaanza kuona, wengi walikua wamevaa miwani ya mbao hapo kabla ila sasa mbao zimeoza wameanza kuona na kujua serikali ya wanyonge ni serikali ya namna gani. Serikali ya wanyonge ambayo imejaa majigambo, serikali inayonunua ndege cash money young money, inajenga...
  19. Watanzania wenzangu nawapenda sana,mnapojifukiza msisahau kufumba macho

    Watanzania wenzangu nawapenda sana,mnapojifukiza msisahau kufumba macho ili mkopona muendelee kupost na kukoment humu JF. Madhara ambayo yanaweza yakapatikana kwenye kujifukiza ni pamoja na ukungu kwenye macho kama sio upofu kabisa. Binafsi nimeitumia Sana tiba hii lakini kabla hata covid-19...
  20. Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano. Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…