Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,904
Watanzania wengi sasa wanaanza kuona, wengi walikua wamevaa miwani ya mbao hapo kabla ila sasa mbao zimeoza wameanza kuona na kujua serikali ya wanyonge ni serikali ya namna gani.
Serikali ya wanyonge ambayo imejaa majigambo, serikali inayonunua ndege cash money young money, inajenga miundombinu mikubwa, imejenga hospitali 67 na kadhalika na kadhalika haiwezi kuwaokoa wala kuwasaidia wanyonge kwenye majanga.
Janga la Corona(covid-19 au kwa kiswahili tatizo la upumuaji) limekuja kuiumbua serikali ya wanyonge ambayo ilikua inajigamba ina pesa za kulisha nchi miezi 5 wakati wa dharula kumbe hakuna hata 100.
Serikali ya wanyonge inazuia shughuli za kijamii kama mazishi lakini inaruhusu shughuli za bar, clubs, mikusanyiko mingine yenye lengo la kibiashara ili angalau ipate hela. Kwamba mkienda kuzika mtaambukizana ugonjwa aa matatizo ya kupumua ila mkiwa bar mnakunywa hamuwezi kuambukizana. Imeacha shughuli za ibada ziendelee kwa sababu wanatafta huruma kwa viongozi wa dini watafuna sadaka.
Watu wanajiuliza mbona serikali ya wanyonge ya dona kantri mbona inajali sana pesa badala ya utu, jibu ni moja tu serikali ya wayonge ndani ya dona kantri haina uwezo wa kuendesha nchi wakati huu wa ugonjwa wa matatizo ya upumuaji aka covid-19.
Nchi kama Rwanda na Uganda wakati huu wa ugonjwa wa upumuaji aka covid-19 wameonyesha wanaweza kuendesha nchi zao kwa miezi kadhaa ya dharula na pesa ipo ila sio dona kantri.
Majigambo ya viongozi wa serikali ya wanyonge ni debe tupu linalipiga kelele ndani hakuna kitu. Dona kantri sasa tuunakua sembe kantri.
Serikali ya wanyonge ambayo imejaa majigambo, serikali inayonunua ndege cash money young money, inajenga miundombinu mikubwa, imejenga hospitali 67 na kadhalika na kadhalika haiwezi kuwaokoa wala kuwasaidia wanyonge kwenye majanga.
Janga la Corona(covid-19 au kwa kiswahili tatizo la upumuaji) limekuja kuiumbua serikali ya wanyonge ambayo ilikua inajigamba ina pesa za kulisha nchi miezi 5 wakati wa dharula kumbe hakuna hata 100.
Serikali ya wanyonge inazuia shughuli za kijamii kama mazishi lakini inaruhusu shughuli za bar, clubs, mikusanyiko mingine yenye lengo la kibiashara ili angalau ipate hela. Kwamba mkienda kuzika mtaambukizana ugonjwa aa matatizo ya kupumua ila mkiwa bar mnakunywa hamuwezi kuambukizana. Imeacha shughuli za ibada ziendelee kwa sababu wanatafta huruma kwa viongozi wa dini watafuna sadaka.
Watu wanajiuliza mbona serikali ya wanyonge ya dona kantri mbona inajali sana pesa badala ya utu, jibu ni moja tu serikali ya wayonge ndani ya dona kantri haina uwezo wa kuendesha nchi wakati huu wa ugonjwa wa matatizo ya upumuaji aka covid-19.
Nchi kama Rwanda na Uganda wakati huu wa ugonjwa wa upumuaji aka covid-19 wameonyesha wanaweza kuendesha nchi zao kwa miezi kadhaa ya dharula na pesa ipo ila sio dona kantri.
Majigambo ya viongozi wa serikali ya wanyonge ni debe tupu linalipiga kelele ndani hakuna kitu. Dona kantri sasa tuunakua sembe kantri.