wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anaridhishwa na yanayoendelea sasa kati ya Serikali na Askofu Gwajima?

    Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu. Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima. Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule Gwajima anapeleka watu mputa mputa Sasa hivi na IGP Sirro kaingia...
  2. Fundi Madirisha

    JamiiForums Tanzania Tutaipata Katiba Mpya, kuuzima mjadala wake ni ngumu

    Sasa ni wazi kwamba pamoja na sarakasi zote za kukamata wapinzani wanaoendekeza mijadala juu ya katiba mpya, lengo liko wazi ni kuzima Mjadala ili kuepusha kuiamsha jamii ili isipige kelele juu ya mchakato wake. Sasa ni wazi kua hii siyo CCM tu bado ni mfumo mzima hautaki katiba mpya huenda wana...
  3. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Michango ya Kumchangia Sabaya iliishia wapi?

    Kuna watu walianzisha kampeni ya kumchangia Sabaya ili kumuwekea Wakili "mkali" kabisa na kwamba walitaka kukusanya kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kwenda kumtembelea. Mmeishia wapi? Mlikusanya kiasi gani? Maana kama Wakili mliyempata ndio kashauri Sabaya aseme Yale aliyoyasema basi...
  4. guzman_

    JamiiForums Tanzania Hivi Wazee Wanaenda wapi hapa Dar es Salaam

    Wasalaamu wakuu. Kuna uwezekano mkubwa ya kuwa wanaume tunapotea mapema sana hasa kwenye hili jiji. Yaani June nilienda kijijini nimekutana na wazee wa miaka hiyo bado wanakula nchi. Lakini hapa Dar unaweza kaa mwaka usikutane na hata na mzee mmoja. La pili, nimekumbuka ile hafla ya makonda...
  5. Dit000

    JamiiForums Tanzania Fedha inatoka wapi na inakwenda wapi?

    naomba wanauchumi watuelekeze kama kutakuwa na makosa 1. Fedha zote zinatoka bank kuu(BOT) kabla ya kusambazwa kwa raia na bank zote zilizochini ya benki kuu 2. Bank kuu inatengeneza fedha za aina mbili ya kwanza ni virtual(isiyoshikika) na ya pili ni paper money 3...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ikiwa kama Wananchi wa Tanzania hawataki Katiba mpya, Maoni yaliyokusanywa na Tume ya Warioba yalitoka wapi?

    Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa ccm wananchi wa Tanzania si wanaotaka Katiba mpya , bali Katiba mpya inatakiwa na wanasiasa ili watimize malengo yao, hii ndio kauli yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo. Swali langu ni hili, yale maoni ya Tume ya Warioba yaliyopelekwa kwenye Bunge la Katiba...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupiga MCSE na ITIL hapa Tanzania

    Wasalaam Wakuu nataka kufanya certification ya hizi program NCSE na ITIL Kwa tanzania wapi naweza kupata team ya kufanya discussion+test before zijapiga paper
  8. L

    JamiiForums Tanzania Waethiopia wana asili ya wapi?

    Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo pia.
  9. May Day

    JamiiForums Tanzania Tumeshindwa Wapi? Olympic Games Tokyo 2021

    Kama kuna Medali ambayo Taifa tunastahili basi ni Medali ya vipaji vya kuamini miujiza ya kuvuna tusichokipanda. Kama tunavyofanya kwenye tozo, badala Mamlaka kuandaa kwanza Wananchi wenye uwezo wa kulipa 'tozo' wao wanaanza na tozo kwanza wakiahidi uwezo wa kulipa utakuja huko mbeleni. Na...
  10. Honorable GPA

    JamiiForums Tanzania Ziko wapi ajira 40,000 alizotuahidi Rais Samia?

    Nakumbuka siku ya mei mosi mwaka huu, mheshimiwa Rais alituhaidi kwamba serikali yake inatarajia kutoa ajira za kudumu 40000 kwa vijana mwaka huu. Hata bajeti iliyopitishwa na bunge kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo utekelezaji wake umeanza mwezi wa saba pia inazungumzia hicho kitu. Japokuwa...
  11. MZEE WA MSALALA

    JamiiForums Tanzania Elimu Tanzania inakwama wapi?

    ELIMU TANZANIA SHIDA NINI? kwa mjibu wa Jamii Forums, Mwaka 2017 wavulana 36,434 waliacha shule, na wasichana 29,708 waliacha shule Katika Mwaka huo na kufanya jumla 66142. Miaka mitatu baadaye yaani 2020 wavulana 96,683 waliacha shule ikiwa ni mara 2.65 ya 2017 na waschana 71,151 Mwaka 2020...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi msanii Jos Mtambo?

    Shabiki wake nimem miss sana. Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
  13. Reginald L. Ishala

    JamiiForums Tanzania Ofisi za Zantel zinapatikana wapi Mwanza?

    Mwenye kufahamu ofisi za Zantel kwa hapa Mwanza anifahamishe. Kabla ya kuhamishwa zamani ilikuwa pale mataa mkabala na jengo la BOT. Nina Modem nahitaji wanipatie huduma fulani. Lakini pia nahitaji wanipatie special number. Natanguliza shukrani wakuu.
  14. The Eric

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza pata boy friend jeans za mtumba

    Wakuu samahani sana kwema! Wapi naweza pata zile boyfriend jeans za mtumba za kina dada. Wandugu napata wapi kiwepesi ziwe za kupoint kwa wenye mabalo msaada wenu tafadhali nina uhitaji nazo. Mwenye taarifa anijuze. cc Tanayzer
  15. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

    ASHA Rose Migiro, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), muda wowote kuanzia sasa, atatangazwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza. Taarifa za ndani kutoka katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa zinaeleza kuwa, jina la Dk...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Kufika Mahakamani ni Haki yetu, si kosa Kisheria

    Kamanda Muliro na kamanda Sirro mmeonekana mkitoa vitisho kinyume cha sheria: Vitisho hivi ni vya nini? Kesho tunakuja kwa amani kusikiliza kesi ya mmoja wetu. Tuna amini kila mtu mkiwamo nyie mtazingatia sheria za nchi. Tuna hata haja ya kutunishia misuli? Jambo moja la hakika, hatutakuwa...
  17. Mtafiti77

    JamiiForums Tanzania Wapi napata Xiaomi 11 Lite 5G

    Ndugu walevi wa gadget, Nimeamua kubadili upepo wandugu. Natoka kwa Mkorea kwenda kwa Mchina sasa. Akili yote ipo hapo kwa MI 11 Lite 5G. Tafadhali hii isichanganywe na MI 11 Lite. Hii ninayoitaka ina 5G hapo mwisho. Nimeipenda mashine hii nikiwa na akili timamu na bila ya kushawishiwa na mtu...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Why Prof. Kabudi is shy and quiet these days?

    Where is prof. Kabudi? Not frequently seen in the media as we used to see him under Magufuli. Why is he missing even in very crucial occasions like marking the beginning of covid-19 vaccination in the country? Prof. Kabudi was the most favourite choice of the Magufuli regime. He was a brave...
  19. Nyikanavome

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza nitaweza kupata wapi fuel [petrol] stabilizer hapa Dar es salaam?

    Nina generator yangu ambayo siitumii sana; kuna kipindi ili kaa karibu mwaka mzima bila kutumika. Kuja kufungua nikakuta petrol imeharibika na kugandiana kiasi kwamba iliharibu mpaka carburetor, ikabidi kubadilisha. Katika soma soma mitandaoni nikakuta kuna fuel stabilizer ambazo zinaweza...
  20. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Link ya kufanya usajili wa Chanjo ya COVID-19

    Wakuu naomba mwenye kujua namna ya kufanya online registration ya chanjo ya COVID-19 aweke hapa link au namna ya kufanya huo usajili online.
Back
Top Bottom