AiseeUnataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
Ipo Kigamboni mkuuHabari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Wewe ni masikini na mtupu hadi rohoniUnataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
Sure. Utakuta kipindi wakiwa wadogo mzee aliwapelekesha sana sasa wanaona kama wamepata mwanya wa kukomoavijana wa siku hizi ni zaidi ya pasua kichwa, wazazi wawili wanaweza kuwatunza watoto sita lakini watoto sita wenye kazi nilishuhudia wakimpiga danadana baba yao mzee na mgonjwa mpaka kufikia hatua ya kuulizia nyumba ya kulelea wazee, hii ni zaidi ya laana
hahahahahaUnataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
Tunza wazazi wako acha upumbavu weweNyumba za wazee huku Kilimanjaro zipo wapi?
Umewaza kama mimiUnataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
Nadhani Kurasini kuna kituo pale na KigamboniHabari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Mkuu hebu kapate supu kwanza upunguze wenge.Unataka kwenda kuwatunza au unataka umpeleke dingi yako? Wazo lako linanipa ukakasi ina maana hapo mtaani hakuna wazee waliofulia au kwenye ukoo wako hakuna wahitaji mpaka uanze kuwatafuta kwa tochi.
Kuna kingine kiko Kwembe Wilaya ya UbungoHabari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo
Fika Manispaa Kigamboni ustawi wa jamii watakuelekeza na taratibu zote.Direction and contact tafadhali
Kuuliza kituo si kwamba watu hawatunzi wazazi wao, ni vyema vituo kama hivyo kuvifahamu na kwenda kuvitembelea na kupeleka chochote, hata mtu anavyoulizia vituo vya watoto yatima si kwamba hatunzi watoto wake. Acha kuandika msg bila kufikiri.Tunza wazazi wako acha upumbavu wewe
Mungu akubariki sana.Habari wakuu. Naulizia nyumba ambazo wazee watu wazima wanatunzwa. Nahitaji kwenda kuwasalimia na kuwashika mkono kidogo