Kamanda mwenzetu Joyce Mukya yuko wapi? Ni mmoja wa makada waliolamba viti maalum kiaina. Anatakiwa atoe neno kipindi hiki kigumu

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,165
4,581
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
 
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Analea watoto wa gaidi mbowe mida hii muacheni sio peke yake aliyelamba viti maalum

USSR
 
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Kamanda kwani,huyo unamtafutia nini,aukwa kuwa ulishiriki ubambikiaji wa mtu,au ulifarijika kwao kwa kuona utaweza kunufaika vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom