wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu: Serikali imekusanya Tsh Bilioni 63 tozo miamala ya simu, zitajenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa

    Toka tozo za miamala ya simu ianze bilioni 63 zimekusanywa na tayari Serikali imeshapeleka fedha kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa zote zisizokuwa na vituo vya afya kabisa. Hakuna tarafa yoyote nchi nzima ambayo haitakuwa na kituo cha afya kwasasa. Kodi yetu imeleta matokeo, Watanzania...
  2. Mchochezi

    JamiiForums Tanzania Nicholaus Gyan atua DTB ya ligi daraja la kwanza

    Klabu ya DTB inayoshirki ligi daraja la kwanza imemsajili mchezaji Nicholaus Gyan ambaye amewahi kukipiga Simba Sc. Gyan anaenda kuungana na akina Tambwe na Juma Abdul ambao nao wamesajiliwa katika timu hiyo! Hivi nani yupo nyuma ya DTB? Kwa uwekezaji huu, DTB ataweza kupandisha timu ligi kuu?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ukiukwaji Katiba, Tanzania tunafeli Wapi?

    Nchi si shamba la mtu. Nchi huendeshwa kwa kufuata katiba. Inatia moyo majahili kama kina Alpha Conde wanapotiwa adabu kwa kukiuka katiba: "Rais Alpha Conde alitaka kuvunja Katiba ya Nchi ili imruhusu kugombea kwa muhula 3 na bunge kumuongezea mshahara." Sote hatupendi katiba ya nchi...
  4. B

    JamiiForums Tanzania 'Huduma Pamoja' kupitia Shirika la Posta inalenga nini?

    "Tumefanya mageuzi makubwa ndani ya Shirika la @posta_tz. Lengo ni kuwa na Posta ya Kidijitali, Posta kuwa kitovu cha biashara mtandao na huduma za Pamoja. Katika kutekeleza azma hii, Siku ya Jumatatu tarehe 6 Spetemba, tutazindua utaratibu wa Huduma Pamoja". Mhe. Faustine Ndugulile Nimeona...
  5. O

    JamiiForums Tanzania SoC01 Nitafanya nini sasa na wakati sina mtaji? Sijui nianzie wapi, wala sijui pia nikakope kwa nani?...

    Haya ndiyo mengi yanayotawala katika vichwa vya watu wengi, kutokana na kila mtu anawaza kwa namna yake. Tatizo la ajira limeifanya jamii itafute njia thabiti itakayoweza kuwakomboa watu katika janga hili la ukosefu wa ajira. Lakini swali la kujiuliza vipi litamalizika tatizo hili katika bara...
  6. Chakorii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yu wapi Mtende?

    Habari za wakati huu, weekend inaendaje huko mliko wakuu Binafsi nilikuwa sijui Hata kama leo ni jumamosi walai😁😁..tuachane na hilo 😊 Katika pitapita zangu mitandaoni leo nikakutana na picha ya Jackie Apiah (actress kama sio Nigeria basi Ghana) Mara ghafla Id ya Mtende ikakatiza kichwani...
  7. data

    JamiiForums Tanzania Rais Wa JMTZ saivi yuko wapi, Dar au Dom!? Special Thread..

    Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu .. Hovyohovyo.. Tupeni bili..kodi.... Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!?? Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Foundation na pafyum alizozindua Manara zipo wapi?

    Mo Foundation ikiwekwa kwenye jezi full kulalamika kumbe na wewe ulizindua ya kwako iko wapi sasa? Na pafyumu ulizowadhulumu wahusika milioni 37 ziko wapi? VIDEO: HAJI MANARA AFUNGUKA JINGINE KUHUSIANA NA SIMBA Ofisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefanya uzinduzi wa pafyumu yake...
  9. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

    Wakuu mambo vipi? Mimi ni mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera, Kijiji cha Rusinga! Pia Nsunga ni kwetu. Nimekulia mkoa wa Kilimanjaro so Naifahamu Kagera vizuri na Naifahamu Kilimanjaro vizuri sana. Hoja yangu naileta kutokana na Spika Ndugai jana kutuzodoa wana Kagera kuwa hatuna...
  10. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy Mwalimu kuomba World Vision mshirikiane kujenga madarasa tozo mnapeleka wapi

    Mhe Ummy ni Mgeni rasmi kwenye sherehe ya maika 40 ya World Vision Dodoma, anamuomba Mkurugenzi wa World Vision Gilbert washirikiane kujenga madarasa. Najiuliza walisema tozo zinatosha kabisa kwenye ujenzi wa madarasa, madawati na Hospitali hili la kuomba msaada inakuwaje tena, hapa nadhani...
  11. Waterbender

    JamiiForums Tanzania Golds zinaendaga wapi au ziko wapi?

    Haina haja la salam maana na jua hampo salama.(tozo 😅) Ni we direct kidogo tusipoteze muda, pia niwaombe wasomaji mtakao kuwa mnafahamu kuhusu hii issue bac mm na jukwaa kwa ujumla tuna subiri michango yenu. wote tunajua madini ya Dhahabu au Gold kwa kingereza ni madini muhimu sana kwa...
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

    Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI Duuuh 😥😥😥😥 Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
  13. Dit000

    JamiiForums Tanzania Napata wapi hii kitu?

    kwaa hapa tanzania nweza pata wapi hii komputa na ni shingapi??
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ki wapi kile kirusi hatari cha Delta

    Wakati kimeingia nilijua tutazika mpaka panzi lakini naona hakuna kilichotokea Misongamano kama yote nchi nzima, wagonjwa wa sukari, wazee, wenye HIV nk naona bado wako mtaani wanadunda Nimeamini korona ni usanii tosha na imetengenezwa ili kufanikisha mageuzi ya mifumo fulani ya kifedha ya...
  15. Q

    JamiiForums Tanzania Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni

    Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

    Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo. Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno. Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba...
  17. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Badi Bakule yupo wapi?

    Wakuu mm ni mtu na-enjoy Sana Muziki huyu mwamba enzi zake alikua anaimba balaa sijui kaishia wapi?
  18. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania Yawezekana siyo Gaidi au Jambazi, Silaha za kivita alijulia wapi?

    Sawa tukubaliane na ushuhuda wa majirani kuhusu kijana Hamza aliyeuawa na polisi baada ya yeye kuwaua polisi wawili na mlinzi moja, ukitazama tukio lilivyokuwa kupitia video zilizorekodiwa, utaona kuwa huyu bwana alikuwa na uwezo wa kutumia mashine gun au silaha nzito ya kivita, haya mafunzo...
  19. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha Follicle Stimulating Hormonie kinapatikana wapi Mwanza

    Uzi umeelewa wakuu wa jukwaa. Naomba kujua kipimo hiki cha FSH kinapatikana wapi kwa Mwanza?
  20. comte

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo, samahani unapata wapi nguvu za kuihukumu Serikali kuwa imemuonea Mbowe?

    Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Back
Top Bottom