wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Expensive life

    Kuna wakati wanawake mkipaka hizo make-up zenu mnakuwa kama majini

    Unakuta binti mrembo kabisa kaajaliwa ngozi nzuri kabisa, sijui ni nini huwa kinawawasha mpaka wajione wao sio warembo hadi wapake haya mimi nayaitaga majivu. Kuna siku nimemwambia wife jiandae nataka tutoke kidogo, masaa zaidi ya mawili anajipodoa tu mimekaa namsubiri siakatoka chumbani sasa...
  2. B

    Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

    Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua...
  3. S

    Sababu kubwa ya wanawake kuhangaika na mahusiano

    Wanawake mnao hangaika na mahusiano baadhi yenu mlipuuza wapenzi wenu watarajiwa wa utotoni na mkafikiri labda ulimwengu utaleta wenzi bora mkaanza kufanya sampling. Aliyewasukuma kuchumbiana na kulala na wanaume tofauti tofauti kabla ya ndoa aliwaharibu sana. Mmebeba mizigo mingi kutoka kwa...
  4. TheForgotten Genious

    Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

    Kwa wale mlioishi Handeni ama mmeoa wazigua naombeni sifa za hawa watu, tamduni zao, changamoto zao tafadhali.
  5. TheForgotten Genious

    Hivi ni kwanini wanawake wengi wa kihaya wanaforce mtu kuolewa na flani?

    Hawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo. Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa...
  6. Lanlady

    Wanaume wengi ni katili sana kulinganisha na wanawake

    Habari! Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, kama kuna wagonjwa poleni sana; nawaombea mpate afya haraka kwa uwezo wa Mola! Sasa, leo naomba tuzungumze kidogo kuhusu tabia za baadhi ya wanaume. Kama tujuavyo wengi, kwa mila na desturi za kiafrika; mwanaume ndiye huanza kutafuta au kutaka...
  7. BAKIIF Islamic

    Waislamu tumekatazwa kuwaudhi wanawake, Abunuwasi na Vitimbi vya wanawake

    Ilikua jioni moja tulivu, mwanamke mmoja alielekea kisimani kuteka Maji.. Alipokuwa Huko Kisimani Mara Akatokea Mwanaume Mmoja Na Kumuuliza Yule Mwanamke "samahani Dada yangu Hivi Unaweza Kunitajia visa vya mwanamke?". Yule mwanamke ghafla Akaanza Kulia Huku Anapiga Makelele Kwa Sauti Sana...
  8. NetMaster

    Kwenu wanawake, njia pekee ya kugundua mwanaume anakupenda ni pale akili yake inapofanya maamuzi baada ya kupiga mshindo (post nut clarity)

    Si kila mwanaume anaekwambia anakupenda anamaanisha. Haijalishi kwamba kakufanyia kitu gani iwe kukupa muda wake, kukusaidia, kukupa furaha, kukujali, kukupa pesa, n.k, kuna wanaume ambao huyafanya haya wakiwa bado hawapo timamu. Kwa mwanaume ambae kamfata mwanamke kwa lengo la starehe huyu...
  9. Allen Kilewella

    Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

    Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia. Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa...
  10. Analogia Malenga

    Stumai Muki amtwanga Mzimbabwe

    Leo kuna mpambano wa wanawake wa Boxing. Ilipangwa wapigane siku ya wanawake duniani ipa imebidi wapigane leo. Kaa tayari kupata mtanange. Tune Azam Pambano la kwanza, Sophia Hamis Vs Warda Selemani (Wote wageni kwenye ngumi) Round nne Mshindi: Draw/Sare Pambano la Pili: Leila Yusufu Macho...
  11. M

    Kiteto: Wanawake wawili wakamatwa na Nyara za serikali

    Wanawake wawili wa Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa kukutwa na nyara za Serikali, ambazo ni Swala na mtoto wa mnyama aina ya Digidigi ambaye yuko hai. Wanawake hao ni Veronica Paulo (24) na Witnes Paulo (20) ambapo Machi 20.2023...
  12. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Jukwaa la Uwekezaji Wanawake Kiuchumi Kata ya Makongo

    UZINDUZI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KATA YA MAKONGO Mbunge Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dar Es Salaam na Mwanzilishi wa taasisi ya Tisha Mama Foundation, Mhe. Mhe. Janeth Elias Mahawanga amekuwa mgeni rasmi katika kuzindua rasmi Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Kata ya...
  13. Nakadori

    Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

    Assalam aleykum Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni vingi sana kwanini watumie ugoro?? Dah Kama wanawake wenzangu hadi tumbaku mnaweka kwa bibi basi mna...
  14. M

    Kama unahitaji furaha na Raha maishani Kaa mbali na Hawa viumbe wanaoitwa wanawake

    Pasi na kupoteza muda, wanawake wamekuwa viumbe wa hovyo kabisa, viumbe wasio na shukrani Wala huruma, viumbe wa binafsi wenye roho ya uuaji. Viumbe hawa wanasababisha misongo ya Mawazo na maumivu Makali katika maisha yetu wanaume, kiukwel Hawa ni viumbe wa baya sana. Wanawake viumbe...
  15. GENTAMYCINE

    Sheria za Nchi zinasemaje kuhusu Wanawake wanaotukatia Viuno Madirishani katika Mabasi waliyokodi kwenda Shughulini?

    Nilikuwa ndani ya DalaDala naelekea Mjini kwa Mambo yangu ila baada ya Kupishana na Gari Moja limewabeba Wanawake wanakata Viuno Madirishani (tena Makusudi na kwa Kuturingjshia) huku ndani wakiwa na Madela ndani bila Chupi kiukweli Hamu ya Ngono nami imenipanda na nimeamua Kugeuza na kwenda nami...
  16. Mohammed wa 5

    Nimetokea kuwapenda wanawake wanao vaa nguo za kiume(tomboy)

    Habari zenu wakuu Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana. Nimekuwa shabiki wa timu...
  17. Infinite_Kiumeni

    Sababu Za Mwanaume Kuwa Na Wanawake Wengi

    Kila mtu na mapenzi yake apendayo. Kila mtu na malengo yake kwenye mahusiano. Mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni jambo la kawaida, pia ni vyema afanye hivyo. Lakini inategemea maamuzi ya mtu binafsi. Hivyo, wakati unaamua angalia sababu hizi. Twende nyuma kwanza, zamani utajiri...
  18. Mohammed wa 5

    Kwanini wazazi wengi wa kiislamu hasa wa kike hawataki watoto zao kuolewa mke pili

    Wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhan unakaribia vijana wanavuta jiko na wengine wanaongeza mke wa pili,tatu mpaka wa nne kama dini inavyoruhusu. Kuna tukio limetokea juzi mama wa binti ni muislam Safi tu na mumewe ni shekh mkubwa Ila mama wa binti amekataa mtoto wake kuolewa mke wa pili, Je hii...
  19. F

    Kwanini UWT ni taasisi ya CCM? Kwanini isiitwe Umoja wa Wanawake wa CCM (UWCCM) halafu UWT ikawa umoja wa wanawake wote Tanzania?

    Inashangaza kuona kwamba UWT ni taasisi ya CCM. Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) unapaswa kuwa umoja wa wanawake wote Tanzania bila kujali itikadi ya vyama. Wanawake wa CCM waanzishe umoja wao kama ilivyo BAWACHA kwa CHADEMA, n.k. CCM kiache kupora taasisi na mali nyingine za umma na kuzifanya...
  20. Nakadori

    Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

    Wana wa Tanzania amani iwe kwenu. Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje? Me ningekamatwa day 1 kwakweli. Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata...
Back
Top Bottom