wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Kilimbatzz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwa sipo serious na wanawake

    Huu ni motto wangu Tangu yule Baby J, pale Lindi 2007 alivyonitamkia wakati namtongoza Ili twende beach pale Kariakoo Kwa chini Ili kibamia changu kitoe gundu. "Kilimba we ni handsome,ila huna hela,tafuta kwanza hela ndo uje" Ile kauli iliniuma kishenzi,hata ule wali siku ya Jumatano sikuula...
  2. mshamba_hachekwi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, ni nini haswa mkitakacho?

    Katika pita pita zangu leo humu MMU leo, nimeona vitu vya kushangaza sana..... kuna wanawake wanasema wanavutiwa na wanaume wenye mishipa mikononi😂, wengine nimeona wanapenda kufokewa😂 na hata mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa😂..... Sasa kina dada naomba mcomment vitu...
  3. Okrap

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

    Mamboo Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa Mwanaume ambaye anajua kucare. Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana...
  4. sanalii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kupenda wanawake wazuri ni sawa, wanawake kupenda wanaume wenye uwezo ni kosa kwanini?

    Wanaume wanapiga sana kelele kua wanawake wanapenda wanaume wenye pesa/uwezo wa kuwahudumia, lakini kwa nini hatuwasikii wanawake wakilalamika kua wanaume wanapenda wanawake wenye muonekano mzuri? Wanawake wanauwelewa mkubwa sana na nature ya mwanadamu. Kama vile wanaume wanavyopenda wanawake...
  5. Dasizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi wanafanikiwa kupitia migongo ya Wanawake

    Mke wangu mimi elimu yake ni darasa la saba, mimi nimemaliza chuo kikuu ni mhasibu nafanya kazi benki na nina mshahara mkubwa tu. Nilikutana na mke wangu kipindi kaja kuchukua mkopo wa Biashara yake, wakati huo nilikua afisa mikopo. Alinielezea kuhusu Biashara yake, plan zake na namna alivyoanza...
  6. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mhe. Aysharose Mattembe Achangia Milioni 20 Kununua Majiko ya Gesi 500 kwa Wanawake wa Mkoa wa Singida.

    MHE. AYSHAROSE MATTEMBE ACHANGIA MILIONI 20 KUNUNUA MAJIKO YA GESI 500 KWA WANAWAKE WA MKOA WA SINGIDA SEMINA YA MAFUNZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA UWEKEZAJI, RC MISSION MJINI SINGIDA KAULI MBIU: "MAZINGIRA YANGU MTAJI WANGU, YATUNZE YAKUTUNZE" Mattembe Golden Women Foundation (MGWF)...
  7. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaotafuta wanawake wa kuoa wanapitia magumu sana

    Wakuu kwa sasa hali imekuwa tofauti sana wanaotafuta wanawake wa kuoa wanapitia hali ngumu saana. Kwa sasa imekuwa ngumu kutofautisha wife material na kahaba😁
  8. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushuhuda baada ya Utafiti: Acheni kuwatongoza wanawake kwa kutumia simu (kuchat), watongozeni uso kwa uso

    Niko fasta kidogo leo, nitaenda kwenye mada. Vijana mnakosa mbususu za bure kwa kukosa maarifa, kaka yenu nawapa somo leo baada ya utafiti usio rasmi nliofanya kwa muda mrefu. Usitongoze mwanamke kwa simu unampa muda wa kukujudge sana, wewe panga siku baada ya salamu za hapa na pale. Hio siku...
  9. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Aysharose Mattembe Achangia Shilingi Milioni 10 Kununua Majiko ya Gesi kwa Wanawake wa Singida

    AYSHAROSE MATTEMBE ACHANGIA MILIONI 10 KUNUNUA MAJIKO YA GESI KWA WANAWAKE Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe amefanikisha Semina kubwa ya mafunzo ya Utunzaji wa Mazingira na Uwekezaji kwa wanawake wa UWT Mkoa wa Singida huku Akiwapatia Majiko ya Gesi yenye thamani...
  10. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna wanawake ni balaa wanajua kila namna tunavyoficcha pesa tukilala nao guest houses/lodges/hotels

    Hello JF, 👇👇👇 Juzi Kati hapa nimekoma nimeingia lodge na manzi mmoja mitaa ya area D hapa Dodoma, nilivua suruali mbele yake nikaitundika kwenye enga ukutani, si akashangaa akauliza au ushaficha pesa zako kwenye socks, pillow, uvunguni, kwenye godoro. Pombe mbaya sana ilinisaidia kumjua...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Taliban yapiga marufuku wanawake wa Afghanistan kufanya kazi kwenye UN

    Umoja wa Mataifa umesema Jumanne kwamba utawala wa Taliban nchini Afghanistan umewaarifu kwamba umepiga marufuku wanawake kufanya kazi katika taasisi hiyo, ikiwa hatua ya karibuni zaidi ya kuweka masharti kwa haki za wanawake nchini humo Katibu mkuu wa UN, Antonio Guterres, amesema kwamba, “...
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania Wanawake Pemba wakerwa na tabia za madereva Bodaboda kuwashikashika

    Abiria Wanawake Kisiwani Pemba, wamelalamikia tabia ya baadhi ya madereva wa pikipiki ‘boda boda’ kuwaingia mwilini wakati wanapokuwepo kwenye vituo vyao, kutaka usafiri wa aina hiyo. Walisema mara unapofika kwenye eneo lao la vituo na kutaka usafiri, huvamiwa na kuanza kukukopea mizigo na...
  13. Mwachiluwi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnataka nini hasa?

    Mimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha. Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mnataka tufake? Sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi...
  14. Katkit

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Thamani ya Mwanamke

    Nimerudi tena. Tuwaheshimu, tuwajali, tuwatunze, tuwapende kwa moyo mkunjufu. Wengi wetu tuliolelewa na single mothers huwezi kukuta tunawadharau na kuwakejeli wanawake. Guyz, hawa viumbe wana nafasi ya pekee mno mbinguni. Mungu awabariki wanawake wote.
  15. Dr Count Capone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu vingi, vingine hatuwezi hata waambia watu maana ni chafu sana ila nyingine tunaziishi. Nimeanzisha uzi...
  16. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Natamani wanawake wa kiislamu waige mazuri ya Bi Khadija wa kwenye Hadithi za Mtu S.A.W

    Wasalaam JF, 👇👇👇 Hakika ni vema mwezi huu wa mfungo wa ibada naomba ikawe neema na nuru ya ukombozi, wanawake wote wapendwa waislam maustafhati wote wafanye mazuri na wajaaliwe kama Bi Khadija. Na kheri ikawe nanyi wote, binti zetu, dada zetu, mama zetu, shangazi zetu, na Bibi xetu nyote...
  17. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

    Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi. Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha. Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ubadhilifu wa fedha za vijana, walemavu na wanawake ni lawama kubwa kwa isiyokwepeka kwa ccm

    Tumesikia kiasi kikubwa cha fedha zilizotengwa kwa vijana, walemavu na wanawake zikiwa zimetafunwa ktka halmashauri, na hili limekuwa likifanyika waziwazi kwa makada wa chama kukopeshana kwa kigezo cha vyama badala ya uwezo wa kibiashara. Leo hii ni deni hili linalowalemea Wananchi. Ccm walipe...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanawake msikubali Kugeuzwa shamba la Bibi!

    WANAWAKE MSIKUBALI KUGEUZWA SHAMBA LA BIBI! Anaandika, Robert Heriel Tuwaelimishe binti, Dada na Mama zetu ingawaje tunajua hakuna kazi ngumu kama kumuelimisha Mwanamke hasa katika kumwambia ukweli, kwani siku zote ukweli unauma. Wanawake wengi hawapendi ukweli Kwa sababu hawapendi kuumia...
  20. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa kiislamu mbona hawangaiki na ndoa?

    Hawa wanawake wa kiislamu huwezi kukuta wanakosa mwanaume wa kumuweka ndani. Kumbe ukivaa vizuri, ukajitunza, basi wanaume watakuweka ndani. Sasa hawa wanajipoa weee then wanaishia kuwa single mother na kujiingiza katika kampeni uchawara za feminist. Nimegundua hili jambo kuwa mwanaume mwenye...
Back
Top Bottom