Bunge la Iran lapendekeza adhabu kali kwa wahusika wa ukatili dhidi ya wanawake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Bunge la Iran limeidhinisha mapendekezo ya kutoa adhabu kali kwa wahusika wa ukatili dhidi ya wanawake, mapendekezo ambayo yanaweza kupitishwa na kuwa sheria ndani ya miezi michache.

Yakianzishwa zaidi ya miaka 10 iliyopita, majadaliano bungeni yalipelekea kupitishwa siku ya Jumapili kwa kanuni za jumla za muswada uliotajwa kuwa “wa kuzuia madhara kwa wanawake na kuboresha usalama wao dhidi ya tabia mbaya.

Muswada huo ambao unaweza kufanyiwa marekebisho, unaweza kusainiwa rasmi na kuwa sheria katika miezi ijayo.

Mchakato huo unajiri takriban miezi saba baada ya maandamano ya nchi nzima yaliyochochewa na kifo cha Mahsa Amini kilichotokea mwezi Septemba akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Mwanamke huyo wa Kikurdi mwenye umri wa miaka 22 alikamatwa kwa madai ya kukaidi sheria kali ya mavazi kwa wanawake.

---------- ------

Iran Plans to Toughen Penalties for Violence Against Women

Iran's parliament has adopted proposals to toughen penalties for perpetrators of violence against women that could be voted into law within months, state media has reported.

Initiated more than 10 years ago, discussions in parliament led to the adoption on Sunday of the general principles of a draft bill called "preventing harm to women and improving their safety against misbehavior," IRNA news agency reported.

The text, which can be modified, could be formally promulgated into law in the coming months.

The move comes almost seven months after the start of a nationwide protest movement sparked by the September 16 death in custody of Mahsa Amini. The 22-year-old Iranian of Kurdish ethnicity had been arrested for allegedly flouting the country's strict dress code for women.

In recent years, human rights defenders have urged Iranian authorities to reform the law on the protection of women and to toughen penalties for domestic violence.

According to the text agreed upon on Sunday, courts could sentence a man convicted of murdering his wife to as much as 15 years in jail if the victim's family rejects the sentence of qesas (Iran's Islamic law of retribution) — five years more than the current maximum sentence.

The publication of pornographic images without a woman's consent and forcing a woman to marry against her will would also be considered crimes, according to the text.

The draft law also allows the judiciary to provide a married woman with a permit to leave the country even if her husband prevents her from traveling abroad.

The debate over this issue arose in 2015 when the husband of the captain of the women's national football team prevented her from taking part in the Asian Cup.

Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who has the final say in major state policies, had in January called for a tougher law to protect women.

"In our society, women are oppressed in some families," Khamenei said at the time, adding: "If the law does not protect a woman, a man may abuse her."

"The solution is for the laws related to the family to be so strong that no man can oppress women," the supreme leader said.

Source: VOA
 
Back
Top Bottom